Dharau za Benard Morrison, alazimisha mdogo wake asiyeweza kupiga hata danadana tano asajiliwe Kengold

Dharau za Benard Morrison, alazimisha mdogo wake asiyeweza kupiga hata danadana tano asajiliwe Kengold

mdukuzi

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2014
Posts
20,925
Reaction score
51,688
KenGold walitaka saini ya Benard Morrison, jamaa akawapa sharti moja, lazima wamsajili na mdogo wake ambaye hajawahi kucheza Ligi Kuu na hawezi hata kupiga danadana tano.

KenGold nao wameingia kwenye mfumo kwa kukubali hilo sharti.

Morrison na nduguye wamekenua meno na kutudharau Watanzania.
 
Soka la bongo ni matatizo makubwa, nina jamaa yangu alienda kule kwa kuwa hakuwa na connection ya kutosha akapigwa chini, kibaya zaidi kocha alietimuliwa alimuona akashauri asajiliwe, ila alipotimuliwa akaletwa mzungu, wakazuia jamaa asipate nafasi ya kufanya mazoezi na mzungu ili amuone, matokeo yake ndio hayo, wamemsajili mdogo wa BM3, wamemsajili erick kabamba ambae last time nilipata nafasi ya kucheza nae jamaa hana kabisa fitness, ana muda mrefu hajacheza, mbaya zaidi hata kudrible against 1 defender hawezi kumpita, na huyi kasajiliwa bila hata ya majaribio.

Sijui kama tajiri Kenneth anajua yanayoendelea.
 
Soka la bongo ni matatizo makubwa, nina jamaa yangu alienda kule kwa kuwa hakuwa na connection ya kutosha akapigwa chini, kibaya zaidi kocha alietimuliwa alimuona akashauri asajiliwe, ila alipotimuliwa akaletwa mzungu, wakazuia jamaa asipate nafasi ya kufanya mazoezi na mzungu ili amuone, matokeo yake ndio hayo, wamemsajili mdogo wa BM3, wamemsajili erick kabamba ambae last time nilipata nafasi ya kucheza nae jamaa hana kabisa fitness, ana muda mrefu hajacheza, mbaya zaidi hata kudrible against 1 defender hawezi kumpita, na huyi kasajiliwa bila hata ya majaribio.

Sijui kama tajiri Kenneth anajua yanayoendelea.
Soka la bongo hatari
 
Mimi nadhani mambo yao waachieni wenyewe. Usajili wamefanya wao wenyewe! Mishahara watawalipa wao wenyewe!
Na sioni kama kuna sababu ya mtu baki kulaumu, kulalamika, au kunung'unika. Unless otherwise kama kuna conflicts of interest.
Na matokeo watayaona wao wenyewe.
 
Soka la bongo ni matatizo makubwa, nina jamaa yangu alienda kule kwa kuwa hakuwa na connection ya kutosha akapigwa chini, kibaya zaidi kocha alietimuliwa alimuona akashauri asajiliwe, ila alipotimuliwa akaletwa mzungu, wakazuia jamaa asipate nafasi ya kufanya mazoezi na mzungu ili amuone, matokeo yake ndio hayo, wamemsajili mdogo wa BM3, wamemsajili erick kabamba ambae last time nilipata nafasi ya kucheza nae jamaa hana kabisa fitness, ana muda mrefu hajacheza, mbaya zaidi hata kudrible against 1 defender hawezi kumpita, na huyi kasajiliwa bila hata ya majaribio.

Sijui kama tajiri Kenneth anajua yanayoendelea.
Bongo tajiri inabid uwe front sana aiseee,
Ila hilo la Morrison na mdogo ake ni upuuzi sana
 
Bongo tajiri inabid uwe front sana aiseee,
Ila hilo la Morrison na mdogo ake ni upuuzi sana
Kabisa watu hawaonei huruma pesa yako unayowekeza, wao wanakuona ng'ombe kabisa ni haki yako kukamuliwa maziwa.
 
Kengold walitaka saini ya Benard Morrison, jamaa akawapa sharti moja, lazima wamsajili na mdogo wake ambaye hajawahi kucheza ligi kuu na hawezi hata kupiga danadana tano
KenGold nao wameingia kwenye mfumo kwa kukubali hilo sharti.

Morrison na nduguye wamekenua meno na kutudharau watanzania.
Ni Biashara hiyo we Hujui,shida ya Kengold ilikua ni Morison sio mdogo wake,so ametengeneza package
 
Back
Top Bottom