TUKANA UONE
JF-Expert Member
- Jan 3, 2018
- 2,345
- 6,970
Kitendo cha mashabiki, wachambuzi na wajinga fulani kuidharau Simba eti haiwezi kufua dafu mbele ya Wydad kitawaponza na hamtoamini!
Pia, kitendo cha mashabiki na wapenzi wa Young Africans kuidharau timu ya Rivers United kitakuja kuwaponza na hamtoamini.
Hizi dharau toka pande mbili za watani wa jadi zitawaponza, kuna ambao watafurahi na kuna ambao watalia.
Anyways, haijaisha mpaka iishe!
Pia, kitendo cha mashabiki na wapenzi wa Young Africans kuidharau timu ya Rivers United kitakuja kuwaponza na hamtoamini.
Hizi dharau toka pande mbili za watani wa jadi zitawaponza, kuna ambao watafurahi na kuna ambao watalia.
Anyways, haijaisha mpaka iishe!