JamiiCheck
Member
- Nov 3, 2023
- 98
- 122
Kwenye upande wa pili mara nyingi inakuwa ngumu kujua!
Wakati mwingine Mtazamo, Hisia au Itikadi juu ya jambo huweza kuathiri maamuzi wakati wa kutafuta Ukweli wa jambo.
Unapofanya Uhakiki wa Taarifa yakupasa udhibiti Hisia, usiwe na Upande au Mtazamo wako ili uweze kupata majibu sahihi juu ya Uhalisia wa Taarifa Unayohakiki
Pia soma:Yoon Suk Yeol: Taarifa za uongo zinaathiri wananchi kufanya maamuzi sahihi wakati wa uchaguzi
🤣🤣ikawaje au alijua unaleta mapenziDah siku moja nimebeba chuma ya moto, nikiwa home kuangalia nilipo weka issue yangu holaa, Kumuuliza binti wa kazi anaanza kuchekacheka, Nikahisi ni yeye, Dah nilimkwida badae nikawa nomal then naona miguu yake inatemeka nikaanza kukaweka sawa, Kuongozwa na hisia Ni Uchawi.
😀😀😀 eti kuongozwa na hisia ni uchawi.Dah siku moja nimebeba chuma ya moto, nikiwa home kuangalia nilipo weka issue yangu holaa, Kumuuliza binti wa kazi anaanza kuchekacheka, Nikahisi ni yeye, Dah nilimkwida badae nikawa nomal then naona miguu yake inatemeka nikaanza kukaweka sawa, Kuongozwa na hisia Ni Uchawi.