DHL EXPRESS inazidi kujisogeza karibu yako.

DHL EXPRESS inazidi kujisogeza karibu yako.

Rehema Msuya88

New Member
Joined
Aug 16, 2013
Posts
1
Reaction score
0
Habarini Wapendwa.natumai mnaendelea vyema...
Leo mekuja na habari Nzur kwa watanzania wanaosafirisha au wenye mpango wa kusafirisha mizigo Yao ndani na nje ya Tanzania- kwa haraka na usalama zaid. Dhl,inapenda kukutangazia kuwa kwa sasa wamefungua office nyingine mikocheni- Coca-Cola road at Majembe Auction Mart.hivyo hamna haja ya kwenda hadi city center au airport kwa ajili ya kutuma mzigo.

Kama kuna swali lolote usisite kuniuliza.
Karib sana
 
Back
Top Bottom