DIAGNOSTIC CODES

kichomvi

Member
Joined
Jul 29, 2017
Posts
5
Reaction score
1
Habar ya jioni jf members,leo nimefanya diagnostic ya gari yangu na majibu ilikuwa kama inavyoonekana hapo kwenye picha,naomba mwenye uzoefu anipe ushauri wa nini cha kufanya ili niweze kuondokana na tatizo hili maana gari imeanza kukosa nguvu.
 
Safisha sensor YA camshaft kwanza ikikataa kfanyakazi funga mpya au inwezekana wire imekatika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…