K kichomvi Member Joined Jul 29, 2017 Posts 5 Reaction score 1 Mar 16, 2018 #1 Habar ya jioni jf members,leo nimefanya diagnostic ya gari yangu na majibu ilikuwa kama inavyoonekana hapo kwenye picha,naomba mwenye uzoefu anipe ushauri wa nini cha kufanya ili niweze kuondokana na tatizo hili maana gari imeanza kukosa nguvu.
Habar ya jioni jf members,leo nimefanya diagnostic ya gari yangu na majibu ilikuwa kama inavyoonekana hapo kwenye picha,naomba mwenye uzoefu anipe ushauri wa nini cha kufanya ili niweze kuondokana na tatizo hili maana gari imeanza kukosa nguvu.
costerntine Senior Member Joined May 5, 2013 Posts 172 Reaction score 27 Mar 16, 2018 #2 Safisha sensor YA camshaft kwanza ikikataa kfanyakazi funga mpya au inwezekana wire imekatika
K kichomvi Member Joined Jul 29, 2017 Posts 5 Reaction score 1 Mar 16, 2018 Thread starter #3 costerntine said: Safisha sensor YA camshaft kwanza ikikataa kfanyakazi funga mpya au inwezekana wire imekatika Click to expand... Asante sana mkuu wa ushauri wako,nitaufanyia kazi
costerntine said: Safisha sensor YA camshaft kwanza ikikataa kfanyakazi funga mpya au inwezekana wire imekatika Click to expand... Asante sana mkuu wa ushauri wako,nitaufanyia kazi