Diamond achaguliwa kuwania tuzo za BET

Kwenye kura tunapigaa, kwenye kujadilii ubaya tunajadiliii wangekua wagawa riziki tungekufaaaaaaa
DIAMOND OYEEEEEEEEEEEEEE

Oyeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Watajibeba
Kura tuu MTU anaona its big deal au wanataka buku 7 hawa
 
Nina penda muziki wa diamond, sipendi life style yake lakini ni maisha yake binafsi hayanihusu so sio kesi, napenda jinsi anavyojua jinsi ya kuongea kwenye media ukilinganisha na elimu yake, hajisifii always anamshukuru Mungu wake, team yake na Mama yake, kinachomharibia ni huyu house boy wake anaweza aleta habari nzuri ya boss wake mwishoni anaweka uswahili kama mwimbaji wa kwenye vigodoro, naomba apelekwe kwenye coz ya mass communication angalau ajifunze public relation, other wise tuko nyuma yako Mr platnumz ,twambie tu jinsi ya kupiga kura, kiroho safiiii...basi sawaaa
 
Atuelekeze tupige sieeee mtanzania mwenzetu hapa tunatakiwa tuwe wamojaaaa

Kuna watu wazembe sana yani, sahivi diamond alitakiwa awe na kura zaidi ya 5000, ile kutangazwa tu watu walikuwa na mzuka
 
mtu mzima ludacris ndo atasimamia show nzima ya bet 2014 kama the host mc!!!!!
 
Kenya mbona tumeitumia sana kueleza tutokako....ila hapa nilimezea kuna kina mtu fudenge (Bulldog) vichwa vitapasuka kwa sifa....te te te

dah! unanikumbusha hiî, enzi hizo wényewe tunajidanganya kwamba TZ inafahamika ile mbaya duniani... hadi wakati mwingine unalazimika kuitaja Kenya baada ya kuitaja Kilimanjaro bila mafanikio!!
 
kwani Davido ananini cha kumzid Diamond apart from kuzaliwa Nigeria?I am telling u,mziki wa Diamond ni mkubwa kuliko wa Davido,labda ungesema Mafikizolo ningekuelewa,na hao ndo threat kubwa

davido alizaliwa marekani..georgia kama sikosei. ana passport mbili za USA na nigeria.
 
Next Diamond song ft drake, rihanna au lil wayne
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…