Stanley Mitchell
JF-Expert Member
- Jan 2, 2014
- 4,574
- 4,070
Safi sana dogo lakini toa plutinumz kwenye jina huwezi weka madini aina mbili ktk jina moja lakini pia kwa wamarekana kuwa na plutinum ni tuzo ya kuuza copy zaidi ya milioni
P Square si waliulizwa wakasema hawamjui,sahivi watamjua kilazima
Elimu tatizo kwa wasanii bongo
naseeb huyu huyu aliesoma tandale leo anaenda kukaa meza moja na jay z kweli dunia duara tutakutana kati
Heheheiyya. Nimefurahije sasa....aka team diamond.
From Mtogole to America.....! God bless u bro....!
dah! unanikumbusha hiî, enzi hizo wényewe tunajidanganya kwamba TZ inafahamika ile mbaya duniani... hadi wakati mwingine unalazimika kuitaja Kenya baada ya kuitaja Kilimanjaro bila mafanikio!!Tanzania tunaingia kwenye ramani ya dunia mdogo mdogo...zamani ukiwaambia watu unatokea Tz wanauliza ndio wapi....mpaka utoe maelezo mareeeefu, Africa... East Africa... Kilimanjaro....
Davido ana kura zote za west africa
Mafikizolo wana kura za wasauzi
Diamonds inabidi abebe za east africa
Sent from my Nokia Lumia using Tapatalk
Ila kwa mafiki zoro hachomoki wala nini. Sema kufika huko napo ni hatua nzuri. Big up
itabidi tupige kura kwa wingi ili ushindi uje nyumbani Tanzania.
Simpatii picha mama ubaya atakavyojishaua red carpet ya BET na akina Beyonce , mwaka huu ma haters tutajibebaa
tuzo za huku alivaa utumbo wa sket, tuzo za huko sijui atavaaje
HOD hapo ndo unapokoseaga tu.Jifunze kuleta taarifa na kuacha watu watoe comment zao au kuwajibu sehemu ambayo inayohitaji clarification kutoka kwako.Hongera Diamond.
tuzo za huku alivaa utumbo wa sket, tuzo za huko sijui atavaaje
Washauri BET wawe wanachagua Nomenees wake wenye Degree basi au Phd....sisi tunataka burudani tuElimu tatizo kwa wasanii bongo
Big up Demonde plata... Lazima wakae mwaka huu.
Watajibeba this year,Diamond kawashikaje?Kuna watu wanachuki zao hawawezi kumuunga mkono,wanatamani wangechaguliwa wao.
hapo ndipo ninapompendea diamond na maana halisi ya ustar yaani watu wanashauku kujua what will happen .tofauti na wasanii wengine yeye ana keep head za watu zili ring ata akiwa na sho kesho mwngine anataka kuja kuona tu atavaa nini au atafanya nini