Atapigaje nao mapicha sasa ila hata ningekua mimi aisee
Si bora hata jina lako Diamond Platnumz, kampuni inaitwa WCB yaani Wasafi Classic Baby!!! 😕😕
hapo kwanye 'baby' sipapendi..we acha tu!!!
Maana kwenda lazima aende tu
Haa ha yani hata awe anaumwa dengue lazima aende
Peny hakosoma alama za nyakati kabisa maana fursa nyingi zimempita
Sidhani kama kuna Mtz atampigia Davido maana kwa hili Diamond katuunganisha Watz na kila mtu anawish ashinde..hata wasiompenda they are proud of him coz dude has put TZ on the map meen!
Diamond asikate tamaa, tumpigie kura tu.
Najua kuna majuha wa Tanzania watampigia Davido
Jamani ,@hod tuelekeze namna ya kupiga kuraa hawa jiran zetu washatusimangia nyong'o waoo wapiii Evelyn Salt na ICHANA tupige kuraa jamanii
ikiwezekana team wasafi waandae matangazo ktk media mmbalimbali ili kuwapa motisha hata watu wa vijijini wampigie kura Nassib!!!
akishinda mbele ya akina Davido naruka kichurachura mwenge mpka posta
akishinda mbele ya akina Davido naruka kichurachura mwenge mpka posta
akishinda mbele ya akina Davido naruka kichurachura mwenge mpka posta
kwani Davido ananini cha kumzid Diamond apart from kuzaliwa Nigeria?I am telling u,mziki wa Diamond ni mkubwa kuliko wa Davido,labda ungesema Mafikizolo ningekuelewa,na hao ndo threat kubwa
Acha Majungu kijana mbona kuna T-shirt kibao km makorokocho,vampire,Zombie,na majina mengi kibao ambayo hayaelewiki,Diamond kwasasa alikuwa yupo kwenye soko la ndani zaidi km akichanua zaidi ataangalia Brand name yenye kufaa zaidi kimataifa kwasasa muache apige pesa kibongo bongo.:israel:Mi nilijua ni jina utani mpaka alivozindua vitu kama ngua kwa kutumia hilo jina la Wassafi Classic Baby dah aisee kweli shule muhimu au ni business strategy? Baby means something else?