heaven on desert
JF-Expert Member
- Jan 25, 2013
- 1,025
- 393
Week iliyoisha diamond na team nzima ya WCB.
tulikuwa Mtwara kwa
ziara ya kimziki.
Ambapo baada ya maonyesho yake mawili(lindi&Mtwara)
alialikwa na waziri wa mambo
ya nje Mh.Membe
kwenye hotel moja mjini Lindi,ambapo walikula chakula cha pamoja na kufanya mazungumzo..
khusu mziki anaoufanya Diamond na waziri alimpongeza jinsi anavyojituma na
kuitangaza Tz
.na akaahid kumpa sapot kwa
kumtafutia showz nying za nje.
diamond yeye alisihi sana Serikali itie nguvu kwenye bongo flava.
kwenye kikao hicho walikuwepo pia
naibu waziri wa elimu,Philip mulugo
na mkuu wa mkoa lindi.
picha na habari zaid vitakuwa on
thisisdiamond.com
tulikuwa Mtwara kwa
ziara ya kimziki.
Ambapo baada ya maonyesho yake mawili(lindi&Mtwara)
alialikwa na waziri wa mambo
ya nje Mh.Membe
kwenye hotel moja mjini Lindi,ambapo walikula chakula cha pamoja na kufanya mazungumzo..
khusu mziki anaoufanya Diamond na waziri alimpongeza jinsi anavyojituma na
kuitangaza Tz
.na akaahid kumpa sapot kwa
kumtafutia showz nying za nje.
diamond yeye alisihi sana Serikali itie nguvu kwenye bongo flava.
kwenye kikao hicho walikuwepo pia
naibu waziri wa elimu,Philip mulugo
na mkuu wa mkoa lindi.
picha na habari zaid vitakuwa on
thisisdiamond.com