Konda wa bodaboda
JF-Expert Member
- Jul 18, 2014
- 7,981
- 4,170
Zari anaishi bondeni jamaa yupo bongo.Chibu analala na Zari kitanda kimoja... hivi anashindwa nini kumwambia wakiwa wote kua asipost vitu mpk apate airtime clouds?! Nahisi bro anavumilia mambo mengi, yeye ndio anajua.
sio lazima umuite mpuuzi,muite hata jina lake tuu mkuu.Upuuzi anataka kusema hana mawasiliano ya Zari?
Huyu mpuuzi aache kutafuta kiki
kama ni hivyo pole yakeNdo ivo Shunie. Usije ukamkataa kijana mwenye maisha ya kawaida ukaangukia kwa tajiri mwenye utajiri wa masharti. Utajutaa! Huenda na Zari analijua hilo ndio maana akaamua kumtelekeza mapemaa, baada ya kuchuma vyake.
Maisha magumu yanaleta hasirasio lazima umuite mpuuzi,muite hata jina lake tuu mkuu.
punguza jazbaaaaaa
Huyo si ulimboka km unamjua vzr ulimboka hafanani kbs na ivan...ni ivan huyi ....lkn huyu aliyepiga picha hizi ni ushenzi na kukosa utuHio picha inasemekana ni ya dokta ulimboka kipondi ana hali mbaya baada ya kutekwa. Watu wameshadidia ni ivan aisee watanzania tunatia aibu sana
hatar.Maisha magumu yanaleta hasira
Huyo si ulimboka km unamjua vzr ulimboka hafanani kbs na ivan...ni ivan huyi ....lkn huyu aliyepiga picha hizi ni ushenzi na kukosa utu
Umeajuaje atakufa??wewe hutokufa??utakufa na miaka 200??..mtu achekw maradh...Haya ndio matatizo ya utajiri wa masharti ya miaka saba. Wakati bata ndio zimekolea, mara mda wako nao unakuaw umeisha hivyo inabidi uage Dunia. Pole sana shem wetu wa zamani... Tamaa ya utajiri imekuponza. Sasa unakufa kijana kabla ya umri muafaka uliopangiwa na Mola!
Chibu analala na Zari kitanda kimoja... hivi anashindwa nini kumwambia wakiwa wote kua asipost vitu mpk apate airtime clouds?! Nahisi bro anavumilia mambo mengi, yeye ndio anajua.
Swala si kuumuka...ulimboka hakufanyiwa operation ya kichwa ...wala kuwa totaly unconsious wala kuwekewa several mashine km hizo..Mbeleni tutajua ukweli wote, ila ulimboka aliumuka sana mpaka kusahaulika sura halisi
Swala si kuumuka...ulimboka hakufanyiwa operation ya kichwa ...wala kuwa totaly unconsious wala kuwekewa several mashine km hizo..
Huyo ni ivan kafanyiwa operation ya kichwa kwaajili ya kuondoa blood clot kwenye ubongo...
Hahahha!Kwamba wanaelewana na angehitaji hela ya matibabu angempa?
Binafsi ni mpenzi wa nyimbo za Diamond.
Ila kwenye kujibu maswali bado hajaweza kumudu vizuri
Nadhani anapaswa kuendelea kujifunza zaidi na zaidi kutoka kwa wenzake
niliwahi kusikiliza interview yake na Ommydimpoz kipindi kile cha kupumuliana
But to Ommy I was like waoooo! What an amazing interview