ALICHOKIANDIKA DIAMOND PLATNUM KWENYE UKURASA WAKE WA FACEBOOK KUHUSU SERIKALI YA TANZANIA
Dah! hivi kweli Serikali imekosa majibu ya swali la mh: Mbunge kuhusu mapato ya biashara ya ringtones..!? Kweli sasa naanza kuamini kuwa Serikali Inatukumbatiaga tu kwa Mda mfupi na kututumia Wasanii kwenye Kampeni zao kwa Maslahi yao Binafsi, kisha wanatu Damp Baada ya kufanikiwa kwenye Uchaguzi wao, bila kujali Thamani na Mchango wetu kwao.....
SOURCE HYPERMAN HK BLOG
JAMAA WABAYA WANAKUTUMIA HALAFU WAKUTUPA KULE
N
Hawa akili zao ni Afadhali ya maiti, ndio anayajuwa leo haya!!??ALICHOKIANDIKA DIAMOND PLATNUM KWENYE UKURASA WAKE WA FACEBOOK KUHUSU SERIKALI YA TANZANIA
Dah! hivi kweli Serikali imekosa majibu ya swali la mh: Mbunge kuhusu mapato ya biashara ya ringtones..!? Kweli sasa naanza kuamini kuwa Serikali Inatukumbatiaga tu kwa Mda mfupi na kututumia Wasanii kwenye Kampeni zao kwa Maslahi yao Binafsi, kisha wanatu Damp Baada ya kufanikiwa kwenye Uchaguzi wao, bila kujali Thamani na Mchango wetu kwao.....
SOURCE HYPERMAN HK BLOG
JAMAA WABAYA WANAKUTUMIA HALAFU WAKUTUPA KULE
N
Hawa akili zao ni Afadhali ya maiti, ndio anayajuwa leo haya!!??
Hizi picha zinasikitisha sana, tutaendelea kuban CD tu za hawa wajinga na si kununuwa Original CD zao maana wana pesa nyingi mpaka wana uwezo wa kumchangia Tajiri CCM.
Toilet paper ikishatumiwa inaflashiwa. If to was in a pit latrine then that is ok. But if it is in a western toilet, then thereare two things involved.....
Condom 1 hutumiwa mara 1 kwa kila tendo 1.
Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
kwa hili hata mimi naunga mkono hoja....alafu wengine wanajifanya kutunga nyimbo za kuponda serikaliHizi picha zinasikitisha sana, tutaendelea kuban CD tu za hawa wajinga na si kununuwa Original CD zao maana wana pesa nyingi mpaka wana uwezo wa kumchangia Tajiri CCM.