kumbuka wao ndio waliwalamba miguu kipindi cha kampeniKatika harakati za kisiasa za kulijenga taifa wasanii wengi hutanguliza maslai, inaniuma analalamikia haya! Wananchi tumekuwa tukilalamikia gharama za maisha kuwa juu, mfumuko wa bei, bidhaa kupanda bei, na leo nauli wao wanajifanya hawahusiki leo katika maslai binafsi ndo wanalialia.kama watanzania kwa ujumla wetu hatutakemea tabia ya hivi, yaani mtu kulalamika baada ya kuguswa taifa letu litabaki na matabaka yasiyoisha.
INAUMA KUWA NA WATU KAMA HAWA.
halafu fastjet ni rafiki yake.....wakati wa id aliitwa pale i-cool akapewa fedha za matumizi ya sherehe..hivi akikutana naye huwa hawazungumzi mambo kama haya
Hizi picha zinasikitisha sana, tutaendelea kuban CD tu za hawa wajinga na si kununuwa Original CD zao maana wana pesa nyingi mpaka wana uwezo wa kumchangia Tajiri CCM.
BASKET MOUTH said "If you will be used by a man you are safe, but if you are used by a woman, there are two things involved!! She will either use you from the back or from the front if she uses you from the back you are safe, if she uses you from the front there are two things involved!! You will either contract Gonorrhea or HIV!! If you contact Gonorrhea you are safe! But if you contract HIV....!!! there is only one thing involved YOU WILL DIE..!!" Wasanii nyie shobokeeni majukwaa mtakapokuja anza lipia mnachokifanya msilalamike!!!Either will be used in the back or in the front. It is in front there are two tings involved..............
Atoke hapa na domo lake
duh ila Fid Q anasura mbaya jamani...utadhani mzuka!!!
Either will be used by CCM or will be used by CHADEMA, when you will be used by CHADEMA you are safe, but when you will be used by CCM there are two things involved....!Either will be used in the back or in the front. It is in front there are two tings involved..............
kumbuka wao ndio waliwalamba miguu kipindi cha kampeni