Diamond ajaza nyomi la watu Zambia

hivi fiesta Dar mkisema anakuja Rihanna na kusema watakuepo wakina Lina tu?
lipi litajaza?
sio mfanya biashara ,ila uwepo wa Main artist katika tamasha unalipa Thamani Tamasha zima kwanzia Attention ya watu, mpaka Pesa ya kiingilio.
kwa maana akija Rihanna wanaweza fanya kiingilio 30000 kutokana na thamani ya msanii isiyokwepeka ,na local artist ikawa 10000 na wasijaze vile vile

local wanaweza piga show hata wasanii 10 club na haijai! club tu...

kwahiyo hapo diamond kafanya chachu kubwa sana. tumpe heshima yake, kwenda kuwa main Artist tu ni kujidhihirisha kuwa hata bila sapoti ya wasanii wengine anaweza akajaza vile vile.
ukizjngatia ameimba na mashabiki mwanzo mwisho ni kwasababu wanafahamu uwepo/ukubwa wake

Diamond anajitambua sana. asipokushika kwenye Tungo zake, basi mavazi atakayovaa ,usipoyapenda utapenda Dance!
ana sifa zote za kuwa mtumbuizaji Bora Africa.
sifa zake tumpe ,kafanya vizuri zaidi Zambia[emoji8][emoji8]
 
watasema Davido hakwenda[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]!
tena huko akipiga lile sebene lake sijui kama wacongo watakaa[emoji23]

waKenya wanamtamani awe wao ,wanaija wanamtamani maana anapelekesha wasanii wao!
Mungu katujalia neema imetoka kwetu kukomboa mziki wetu lakinj bado hatuikubali...
sasa nimejua kwanini waisraeli walimsulubisha masihi.
 
Acha uongo!!hiyo ratiba ya Diamond kwenda kupiga show huko Zambia alikuwa nayo tangia mwezi wa kwanza!!

Nakuona tu unavyojifanya unajua wakati huna unachokijua!!muongo mkubwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…