PauliMasao
JF-Expert Member
- Nov 26, 2007
- 286
- 39
Ndio maana Membe ameweka wazi kwamba akiingia magogoni kuna waandishi watahama nchi.
Je suis Charlie" inawahusu hawa jamaa hakuna haja ya kupelekana mahakamani ni shaba tu.
HILI GAZETI LIFUNGIWE!!!!!!!!!!
Moderator haya magazeti ya kipumbavu yapigwe marufuku kuletwa humu, hizi ni habari walengwa wake ni wauza maandazi na wacheza viduku.
HILI GAZETI LIFUNGIWE!!!!!!!!!!
Haya mkuu siyo tuombe tu bali tuulinde huu uzima kwa nguvu zote.Halafu kwenye siasa chochote kinawezekana ni mipango na mikakati tu.Unawajua aliowabwaga Asamputa Mshama/Lusinde ama Prof Majimarefu?Membe awe Rais kweli ? No na hii dhana ya foreign minister kuwa Rais wa nchi hii itazikwa rasmi ata kabla ya mwezi wa sita. Tuombe uzima.
Hii si kweli, Diamond hana jeuri ya kukataa hiyo miescrow.., hali ilivyo tyt namna hii..?!
Ndugu, sio kila taarifa ni ya kweli, jaribu kuangalia chanzo cha taarifa yenyewe uhakiki. zaidi sana sioni value ya huyo mpewa hela. jiulize for what ????? worth that????
wengine maisha yao yapo magazetini kila siku utakuta majina yao magazetini, halafu magazeti yaleyale..
Mmh... nimepotea njia ngoja nirudi nilikotoka.
millioni 5;kwa million 500.0o shidaaaa
hili gazeti lifungiwe!!!!!!!!!!
Hivi Lowassa anatoa wapi hila? Mbona anaonekana kuwa na uwezo wa kugawa pesa kama ana kiwanda cha kutengeneza pesa?