Muuza Sura
JF-Expert Member
- Aug 1, 2011
- 1,985
- 1,352
Hilo jibu mkali!bongo tu imekuwa haina mwenyewe siku hizi hadi hata ukiwa na kipande famba bado unakimbiza!!!!naona mpoki anawatia sana moyo wenye sura za babu zao eti mwanaume hasifiwi sura!!!watu vipande vinauza na ukuta tunaongea nao katika masuala ya muamala kama kawa!....tukishikia bango gym si ndio itakuwa balaa dunia nzima!Kwahyo Jamaa Kipande kime-shake? Hahaaaaa!
Mpoki kawapa matumaini kidogo msijichukie na sura zenu ila kasahau kama kuna watu sura mauzo na matatizo hatuna!!!ukiwa na sura mbaya unahitaji kuwa na milioni moja ili ilingane na laki moja anayomiliki mtu mwenye sura nzuri ili utoke nae suluhu kuishi kwa furaha!Wivu huo!!!
Mwanaume asifiwi sura!!!
Mpoki kawapa matumaini kidogo msijichukie na sura zenu ila kasahau kama kuna watu sura mauzo na matatizo hatuna!!!ukiwa na sura mbaya unahitaji kuwa na milioni moja ili ilingane na laki moja anayomiliki mtu mwenye sura nzuri ili utoke nae suluhu kuishi kwa furaha!
Mpoki sura mbaya,dental formula mbaya,mwili mbaya kama kiroba,weusi mbaya wa matatizo ndo maana kajitolea kuwa msemaji wa kutia moyo wenzake na slogan ya mwanaume hasifiwi sura!!!
Mpoki kawapa matumaini kidogo msijichukie na sura zenu ila kasahau kama kuna watu sura mauzo na matatizo hatuna!!!ukiwa na sura mbaya unahitaji kuwa na milioni moja ili ilingane na laki moja anayomiliki mtu mwenye sura nzuri ili utoke nae suluhu kuishi kwa furaha!
Mpoki sura mbaya,dental formula mbaya,mwili mbaya kama kiroba,weusi mbaya wa matatizo ndo maana kajitolea kuwa msemaji wa kutia moyo wenzake na slogan ya mwanaume hasifiwi sura!!!
Hili ndio Jukwaa lake mkali wa Don town, kama kuna misemo imetoka mipya huifahamu wewe usikae mbali na Muuza Sura.kwi kwi kwi...... leo sikuwa na mood ya kucheka but imebidi nicheke!!
Unajua mtu alie zaliwa dar anaweza kua na vitu vingi vya kufanyaMie niliezaliwa Ocean road mbona sijui kuogelea....
Wivu huo!!!
Mwanaume asifiwi sura!!!
Hicho alichokivaa ndio nini?
Walikuwa wamfunze pia kuwa nguo za ndani zinaendelea kubaki ndani na hazipaswi kuonekana nje, hata kama ni ndani ya hodhi la kuogelea..........
that body! uwiiiiiiii yummy! mmhhh acha aitwe sukari ya warembo, lol!
Damn!!!!!what a body!!!!I'm so in luv with those six pacs!!! So kama kina Muuza Sura kushindia viepe
Unajua mtu alie zaliwa dar anaweza kua na vitu vingi vya kufanya
during his spare time. Na sio watu wengi wanapenda kuogelea hapo.
Kigoma activities nyingi ni around ziwa. Soko, maboti, na mengine
People spend so much time by the lake, na watu wengi wanaogelea
Sio lazima kila mtu Kigoma ajue, ila wengi wanajifunza tanganyika
mbona Shetta huyo!
t toUshamba ndo kama huo, kutoweza kutofautisha mavazi gani uyavae wapi
ingekuwa hivyo inamaana kwamba kila atakayekaa kanisani sana angegeuka yesu.Kwa nini unadhani kila aliyezaliwa Kigoma anatakiwa kuogelea?