chinchilla coat
JF-Expert Member
- May 16, 2016
- 5,107
- 10,969
Tehetehetehe mbombo ngafuNimependa kevin hart alivyo ongea kiswahili kidogo hapo hakika Tanzania ya viwanda inakuja
Huo mstari nimeupenda,na ukiangalia ni kweli, maana wanaojua kuimba ni wengi hata marehemu bi Kidude alikuwa anaimba,lakini ili ufanikiwe zaidi,ndipo huo mstari unapofanyakazi.Yah good kijana.
Ila nashangaa kwanini vijana haigi.
Alisema siku moja mziki ni ujanja ujanja, timing, na kujipendekeza ikibidi.ili upate utakacho.