Haha sasa hizo si pesa za mboga kwa kiba unajua deal la wild aid amepewa shi ngapi au mpaka bongo 5 watangaze that's we call it private issuesHivi team kiba mpo kweli????? hahahahaha au bado mnagharamiwa na Chibu dangote, maana kiba amegundua watu wanatumia pesa nyingi sana kwaajili yake..!!
pwilo K 4 LIFE cute b nifah Shardcole The Name etii nikiamua kumshawishi DR MWAKA ampe kiba milioni 800 kudhamini wimbo wa nagharamia #mtanipenda? hahahaha
Dr mwaka huo u professional kautoa wapi na uongo wakoNi mganga professional anayejitegemea..
Amepoteza pesa zake bora hata angempa kingwendu amfanyie promo ingelipa, diamond kapoteza mvuto hakuna anaehangaika nae,,..
Amepoteza pesa zake bora hata angempa kingwendu amfanyie promo ingelipa, diamond kapoteza mvuto hakuna anaehangaika nae,,..
Hivi team kiba mpo kweli????? hahahahaha au bado mnagharamiwa na Chibu dangote, maana kiba amegundua watu wanatumia pesa nyingi sana kwaajili yake..!!
pwilo K 4 LIFE cute b nifah Shardcole The Name etii nikiamua kumshawishi DR MWAKA ampe kiba milioni 800 kudhamini wimbo wa nagharamia #mtanipenda? hahahaha
Duh huyu Dr Mwaka kumbe yuko vizuri enhee!
jamaa kila kitu anataka kudhamini yeye kha! nimefungulia tv dk mwaka,radio dr mwaka,magazeti dk mwaka,jf dr mwaka, instagram dr mwaka, hapa naogopa kufungua friji
Ha haa haaa yaani kama channel ten utadhani imekua yake kila ukichungulia ni yeye tu
sijui kazi anafanya saa ngapi, maana mda mwingi naona anaspend kwenye medias kufanya promo
jamaa kila kitu anataka kudhamini yeye kha! nimefungulia tv dk mwaka,radio dr mwaka,magazeti dk mwaka,jf dr mwaka, instagram dr mwaka, hapa naogopa kufungua friji
Amepoteza pesa zake bora hata angempa kingwendu amfanyie promo ingelipa, diamond kapoteza mvuto hakuna anaehangaika nae,,..
ivi dr mwaka ni uganga wa tiba mbadala au ana biashra nyingine? alafu ni dr wa kusoma au ndo kuunganishia tu