pwilo JF-Expert Member Joined May 27, 2015 Posts 10,913 Reaction score 13,876 Dec 14, 2015 #61 mizuno said: Sishangai kusikia Dr.Mwaka kulipia milioni 50 jamaa yupo vizuri kwanza nyumba anayokaa na magari anayomiliki sidhani kama kuna msanii bongo anamiliki kwasasa. Click to expand... Inaamaana yeye ni mzungu na dr mwaka anatafutwa huku kamkimbia dr hamisi kigwangala tapeli.yule
mizuno said: Sishangai kusikia Dr.Mwaka kulipia milioni 50 jamaa yupo vizuri kwanza nyumba anayokaa na magari anayomiliki sidhani kama kuna msanii bongo anamiliki kwasasa. Click to expand... Inaamaana yeye ni mzungu na dr mwaka anatafutwa huku kamkimbia dr hamisi kigwangala tapeli.yule
mgt software JF-Expert Member Joined Nov 1, 2010 Posts 13,778 Reaction score 7,145 Dec 15, 2015 #62 Hivi Dr. Mwaka ndiye yule aliyekimbia mwenyewe kumwacha Dr. Kigwangala aakigangala kwa mshagao kuona dr. mwenzake anakimbia?
Hivi Dr. Mwaka ndiye yule aliyekimbia mwenyewe kumwacha Dr. Kigwangala aakigangala kwa mshagao kuona dr. mwenzake anakimbia?
womanhood JF-Expert Member Joined Jul 12, 2015 Posts 609 Reaction score 881 Dec 15, 2015 #63 mgt software said: Hivi Dr. Mwaka ndiye yule aliyekimbia mwenyewe kumwacha Dr. Kigwangala aakigangala kwa mshagao kuona dr. mwenzake anakimbia? Click to expand... Hahahahahaha! Ndo huyo
mgt software said: Hivi Dr. Mwaka ndiye yule aliyekimbia mwenyewe kumwacha Dr. Kigwangala aakigangala kwa mshagao kuona dr. mwenzake anakimbia? Click to expand... Hahahahahaha! Ndo huyo