Diamond alewa sifa na kutukana hadharani

Diamond alewa sifa na kutukana hadharani

kibogo

JF-Expert Member
Joined
Apr 1, 2012
Posts
9,739
Reaction score
4,742
15911_10152939945601366_4617794453429971274_n.jpg

Hii ni ishara dhahiri juu ya tusi kubwa si kwa wanaompinga tu hata kwa wale waliomfanikishia kuchukua tuzo hiyo,
 
huyu kapotea sasa kisa hiyo tuzo moja? majanga akipata 6 kama kiba sia atachanganyikiwa huyu?
 
Sipendi kuwashabikia hawa wasanii maandazi wabongo lakin kwa tafsir ya harakaharaka, huo ni ukosefu wa elimu maana huwezi kuta msanii aliyesoma na ajua ethics za kazi yake kuna vitu hawezi fanya vya kijinga, lakini huku bongo msanii anatambua kipaji chake baada ya kufeli shule, unakuta hata meneja wake naye ni mhuni tu mcheza ngoma sasa unategemea nini?
 
Daa ila jamaa kanisikitisha sana,yaani hata sisi ambao hatunaga timu na tumempigia kura tunajiuliza mara mbilimbili huyu jamaa alipania sana yani nikipata tu tuzo watanikomaa, yaani kama jana uliangalia kipindi cha cloudz e cha sahadee saa 2:30 maneno aliyoyatotoa wakati mashabiki wake wamenda kumpokea airport ya kupondea wezeke,sizani kama huyu jamaa anatamini bongo kuwe na international artist zaidi yake, yaani anataka awe yeye tu kama mashabiki wa team yake wanavyotaka wasanii wote wamuabudu yeye..
 
Yaaani waswahili choyo choyo na ujinga ujinga tu.
Mnatengeneza picha za uwongo photoshop ili tu kumchafua. Hio picha ukiangalia kivuli tu unajua ya kuchakuchua.

Wacheni roho mbaya na uchoyo wenzeni wakipata.
Hakika hata mkapa aliwajua kuwa mna roho chafu sana
 
Noma sana, mbaya zaidi hii picha imepigwa mbele ya management yake, na imepigwa na kusambazwa na timu yake kama sikosei. Nilisema juzi kati jamaa anahitaji management mpya itakayomsimamia kama managements za kimataifa zinavyofanya.

Haya si makosa ya Diamond, ni makosa ya management yake, wameshindwa kumuongoza kijana.
 
Sipendi kuwashabikia hawa wasanii maandazi wabongo lakin kwa tafsir ya harakaharaka, huo ni ukosefu wa elimu maana huwezi kuta msanii aliyesoma na ajua ethics za kazi yake kuna vitu hawezi fanya vya kijinga, lakini huku bongo msanii anatambua kipaji chake baada ya kufeli shule, unakuta hata meneja wake naye ni mhuni tu mcheza ngoma sasa unategemea nini?

haya endelea kushabikia wasanii wa nigeria!
 

Attachments

  • 1437491820502.jpg
    1437491820502.jpg
    59 KB · Views: 1,076
Noma sana, mbaya zaidi hii picha imepigwa mbele ya management yake, na imepigwa na kusambazwa na timu yake kama sikosei. Nilisema juzi kati jamaa anahitaji management mpya itakayomsimamia kama managements za kimataifa zinavyofanya.

Haya si makosa ya Diamond, ni makosa ya management yake, wameshindwa kumuongoza kijana.

Mkuu mimi mwenyewe ni shabiki mzuri wa Diamond ila kwa hii picha amejishusha.

Msanii mkubwa kama yeye hawezi kukosa maadui, hivyo ni jukumu kujikotro lakini kwa hali hii amekosa ushauri.
 
Back
Top Bottom