ukiona kwako kiroba kwa mwingne ni gunia aisee...mtafute anaefanana na mimi mars sasaKatika wanamziki wa bongo nampenda sana huyu demu. Please D do this for me, usimchezee huyu girl utaniumiza sana😭😭
Ooh,,sikuwahi kuzinyapia nyapia hizi infoMarioo ndo alikua anakula mzigo
Leteni na picha zake ili tumuone maana wengine hatumjuiWasalaam wana Jamvi!
Baada ya mwana muziki bora kabisa Tanzania kumsifia mdogo wa mwanamuziki Vannesa Mdee hivi karibuni kwenye ukurasa wake wa instagram “ haka katoto nakapendaga basi tuu”.
Baada ya hayo maneno ya on line unaambiwa ni kama Diamond aliagiza vile bidhaa on line hivyo alicho subiri ni kufikishiwa mzigo huo nyumbani ili aulipie....
Baada ya siku mbili ilibidi Aristote ahakikishe Bidhaa hiyo inafika nyumbani salama kabisa!
Diamond hakikisha na huyu binti una mnunulia gari au nyumba sio zawadi ya mtoto tuu....
Hongera sana Mimi Mars!
hana ela ya kumweka mjini mtoto yule..unajua hata mitaani kwetu huku muda mwingne unamla demu sio kwa kuwa anakupenda ila anakuelewa tu...hivo yaaniMarioo ndo alikua anakula mzigo
zuchu kama kitanda kibvu kiko shambani kwake hofu ya nn sasa muda wwte akitaka anakula mzigo???usione ukadhani jamniKwahiyo mondi anamaanisha hana mpango kabisa na CHUCHU (Zuchu)??
HahaRoho imeniuma sana
Daah...kweli mkuu,ila ka Zuchu kanaonekana Bado kabichi kabisa na ile midomo yake midogo nahisi katakua na mnatozuchu kama kitanda kibvu kiko shambani kwake hofu ya nn sasa muda wwte akitaka anakula mzigo???usione ukadhani jamni
Kachepuke nae tuu, jamaa mbona anakitembeza Sana tuuHaha
Kumbe tupo wengi!!
Me roho iliniuma G nako alivyooa.... Nampendaga sana yule mchizi
ndgu yangu ww huendi mbinguni kaka mmhh una maneno kuntu chief wangu!!!!!Daah...kweli mkuu,ila ka Zuchu kanaonekana Bado kabichi kabisa na ile midomo yake midogo nahisi katakua na mnato
We acha tuu. Nimemchukia mondi gafla.Ulikua unamtaka wewe mkuu?
Enhee...si kuna thread humu JF ya utafiti uchwara unaosema kuwa size ya shimo (K) huwa inarandana na size ya midomo ya mwanamke husika??ndgu yangu ww huendi mbinguni kaka mmhh una maneno kuntu chief wangu!!!!!
Daaaamn uko serious?Katika wanamziki wa bongo nampenda sana huyu demu. Please D do this for me, usimchezee huyu girl utaniumiza sana😭😭
Kweli mzee plus umaarufu.Yani mim kama wew hapa roho imeniuma kwakwer yni mbele ya pesa akuna kinachoshindikana
🤣🤣🤣🤣🤣Katika wanamziki wa bongo nampenda sana huyu demu. Please D do this for me, usimchezee huyu girl utaniumiza sana😭😭
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Katika wasanii wakike nilikua na wish kuja kuwatafuna nikiokota hela basi ni huyu Mimi mars huyu mtoto anaonekana ni mtamu jamani
Maninaa kaisha ingia kwenye himaya ya simba mla watu, atatafunwa mpaka kucha
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣ukiona kwako kiroba kwa mwingne ni gunia aisee...mtafute anaefanana na mimi mars sasa