Diamond am-diss Bob Junior Live KTMA

Tunaacha kuzungumzia ROMA mkatoli, tunajadili wabana pua hawana inshu bana. Kwanza d'mond hana sura ya uwamziki, anapendezea akiwa mpaka rang kucha za madu au muuza vyombo mtaani. Wabanapua wenyewe wali wa shekhe, kwishneeeeeeiiiiiiii.
Pokea LIKE,
Sio siri ROMA Mkatoloki ni kichwa na anajua cha kuandika na kuimba pia,
Mungu na ampe maisha marefu na kumlinda na wenye roho za kwann wanaoguswa na tungo zake.
 
Huyu mnyama alichokifanya leaders siku ya mazishi ya kanumba ndo nilikubali zaidi na zaidi kama nyota iking'aa hamna wa kuzuia zaidi ya Mungu...

alifanyaje huyo mnyama mkuu muuza sura?
 
Huyo dogo mshamba unatoka tandale unakwenda kuishi Masaki unategemea nini hapo uilmbukeni lazima uwepo wa kufa mtu
 
Time yake kwanini nisimpe mashavu!taja takataka yeyote ya bongo flava anayeshine kama platinumz!!!juzi kadhihirisha umwamba wake mpaka katika vidudu mtoni!.....guess nani ndo mjanja wake katika uvaaji.....the man himself PHD!

hivi PHD yuko wapi siku izi jamani?
 

hapo hakuna mwenye akili kama hiyo, labda uwape wewe. Elimu yao na mambo yao ni kama bazoka au maharage ya Mbeya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…