Kichwa cha bongo fleva, kinazidi kutuwakilisha vema anga za kimataifa, na hii ni zamu ya MTV EMA ambapo huwa wanachaguliwa wasanii bora watano tu!! wa kwenda kujumuika na wasanii wa marekani katika utoaji tuzo huko Ulaya..
Mpaka sasa wameshatangazwa wasanii wanne
+ diamond
+Yemi Alade
+Aka
+Davido
na wa tano, anatangazwa hivi punde nitawaleteeni
Hakika ni furaha kubwa kwa wapenda burudani, kwa uwakilishi wa kipekee wa Diamond platnumz... piga keleleeeeeeeee oyooooo
Mpaka sasa wameshatangazwa wasanii wanne
+ diamond
+Yemi Alade
+Aka
+Davido
na wa tano, anatangazwa hivi punde nitawaleteeni
Hakika ni furaha kubwa kwa wapenda burudani, kwa uwakilishi wa kipekee wa Diamond platnumz... piga keleleeeeeeeee oyooooo
Last edited by a moderator: