Diamond amechaguliwa kuwania tuzo za MTV EMA

Kidingi

JF-Expert Member
Joined
Aug 11, 2012
Posts
1,872
Reaction score
1,832
Kichwa cha bongo fleva, kinazidi kutuwakilisha vema anga za kimataifa, na hii ni zamu ya MTV EMA ambapo huwa wanachaguliwa wasanii bora watano tu!! wa kwenda kujumuika na wasanii wa marekani katika utoaji tuzo huko Ulaya..

Mpaka sasa wameshatangazwa wasanii wanne
+ diamond
+Yemi Alade
+Aka
+Davido

na wa tano, anatangazwa hivi punde nitawaleteeni

Hakika ni furaha kubwa kwa wapenda burudani, kwa uwakilishi wa kipekee wa Diamond platnumz... piga keleleeeeeeeee oyooooo
 
Last edited by a moderator:
Hatumpigii kelelee kada wa ccm....ngoja wana ccm wenzake waje
 
Hatumpigii kelelee kada wa ccm....ngoja wana ccm wenzake waje

Mkuu, mpaka kuwa nominated hujatoa hata kota, kwahiyo tuliza mshono hivohivo mwanaume afanye yake

oyooooooooooooooooooooooooooooo
 
Mkuu, mpaka kuwa nominated hujatoa hata kota, kwahiyo tuliza mshono hivohivo mwanaume afanye yake

oyooooooooooooooooooooooooooooo

Huyo unayemtolea kauli mbaya ni shemeji yangu ujue!!
 
Mkuu, mpaka kuwa nominated hujatoa hata kota, kwahiyo tuliza mshono hivohivo mwanaume afanye yake

oyooooooooooooooooooooooooooooo

Mkuu naona huna tofaut na wale wanaovaa maderaa kwa hizo kauli zako....
 
haha waulize Mtv wenyewe wanamjua, na hao ndio wanamuziki top Africa nzima
Mkuu sio kweli kwahiyo daimond yupo juu kushinda wizkid coz jina lake halipo apo hizi figusi mpaka huko ziko unaweza hata toa pesa basi ila wizkid ni next level Africa kwa sasa hamna anayemfikia ila sijui kwa nn wanamuonea sana kwenye masuala ya tuzo
 
Wizkid best in Africa hayupo et daa skendo zinasaidia sana
 
Wizkid best in Africa hayupo et daa skendo zinasaidia sana

Utapasuka mwaka huu, mmetoka kwa kiba sahv mpo kwa wizkid

Mpela mpela tunataka mtushindanisha hadi na ChrisBrown, ni kuwapaka pilipili machoni.... subiri kwanza goma la chibu ft. Nick minaj itakuwa homa ya dunia nzima
 
hahahahaa.... Hawataki..!!!? Wakajambe mbeleee.

Success keep on pours..

Afu leo wamekuwa wapole kinoma, wengine wamekimbia hawajaonekana kabisa hahaha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…