Wenye pesa na madarakaAnao waabudu akina nani?
Si uwataje?Wenye pesa na madaraka
kunamaisha njr ya kila kituNimekuelewa Sana tena Sana, lakini Kama msanii lazima uwe na insight kuwa Kuna kundi utalikwaza ambalo unalihitaji Sana pia kwenye kazi na maisha yako pia, japo hata kwa kubeba jeneza lako siku Mungu akikupenda zaidi.
Mfano, Kama CCM Mungu apishie mbali ikidondoshwa na lissu 2020 utasema Nini? Je, wale mashabiki wa lissu, membe, Rungwe, Chadema, ACT na NCCR tunaowaona kule Tunduma, Njombe, Mbeya, nk hawawahitaji?
herman joshua mbona diamond aliwapigia kampeni CCM 2015 mbo Hadi sasa anazidi tu kuongeza mashabiki na anavizuri kwenye game na ndio Top artist Hadi sasa.kunamaisha njr ya kila kitu
Kunamashabiki wa simba ambao ni wapenzi wa chadema hvyo watampenda diamond kwa sababu ya simba hvyohvyo kuna mashabiki wa ccm ambao ni mashabiki wa yanga watampenda Diamond kwa sababu ya ccm
Vlevle kunasisi tulio nutral tutampenda kwa music wake tu
Cjaelewa ulichokiandika naomba urudie tenaherman joshua mbona diamond aliwapigia kampeni CCM 2015 mbo Hadi sasa anazidi tu kuongeza mashabiki na anavizuri kwenye game na ndio Top artist Hadi sasa.
Polo
Kwa Tanzania msanii mkubwa ni Simba Chibu Dangote. na kuna wengine wasanii wadogo wapo kwenye saisa wengi tu.Niambie msanii mkubwa aliyewahi kufanya hivyo, labda ana malengo ya kuacha Sanaa na kuingia siasa.
Ungekuwa na unajua abc za uhasibu wala usingeshangaa mambo ya hati chafu.
Pili unasema alipinga maamuzi ta BASATA kwahiyo nyimbo zake zilifunguliwa ?
Wao ndo wanamhitaji mondi kwahyo watamfata popote aendakoNimekuelewa Sana tena Sana, lakini Kama msanii lazima uwe na insight kuwa Kuna kundi utalikwaza ambalo unalihitaji Sana pia kwenye kazi na maisha yako pia, japo hata kwa kubeba jeneza lako siku Mungu akikupenda zaidi.
Mfano, Kama CCM Mungu apishie mbali ikidondoshwa na lissu 2020 utasema Nini? Je, wale mashabiki wa lissu, membe, Rungwe, Chadema, ACT na NCCR tunaowaona kule Tunduma, Njombe, Mbeya, nk hawawahitaji?
Kila shughuli Ina miiko yake. Unapoazimia kuwa mwanamusic mkubwa saana everybody counts. Huku kwetu mambo yetu hayajanyooka Kama huko kwa wenzetu. Hapa kwetu siasa Ni ugomvi wa kuchomeana nyumba na ofisi, kuuana, uhasama. Simba na Yanga Ni uhasama pia wa kufa mtu. Usimlinganishe huko na huku.Hapana, Diamond pia ni Binadamu na yeye ana choices zake, mbali ya kuwa ni msanii. Kama akiwa jukwaani anaimba CCM, obvious hiyo itakuwa ni kampeni ya CCM, na watakaokuwa wameingia ni wana CCM. Pia, akiimba kuhusu Simba, watakao kuwa wameingia ni wana Simba. Ila hii haikatazi wale ambao sio wana CCM, au wana Simba, kama watakuwa eneo la Simba au la CCM, kutokusheherekea nyimbo za Diamond zile ambazo hazigusi CCM au Simba. Ila kwa upande mwingine, Diamond kama Msanii, akisimama kwenye jukwaa la usanii, mashabiki wake wote, wawe Simba, Yanga, CCM, Chandem n.k hawawezi kubaguana kwa namna yoyote ile, sababu ile ni burudani.
Tatizo lako Ni kulinganisha Marekani na Bongo. Marekani vyama vya siasa kupokezana Ikulu Ni Jambo la kawaida, wanashindana kwa sera. Sisi hapa Ni tofauti kabisa.Barack Obama wakati alipokuwa president wa United States alionyesha waziwazi kuwa yeye ni shabiki wa Chicago Bulls na haikuwa na madhara yoyote kwa raia wake.
Hata Magufuli anaweza kuwa SImba au Yanga na ikawa poa tu.
herman joshua Kweli nimekosea si unajua niliandika nikiwa kwenye daladala alafu linanesanesa nilichomaanisha mbona diamond alifanya kampeni 2015 na ajashuka mpaka Leo na siku zinavyozidi anazidi kuongeza mashabiki Jana amefikisha 4M subscribers kwenye YouTube nakuweka record ya msanii pekee wa sub-saharan kawapita davido, Wizkid,burna boy n.k.hao mashabiki wa Yanga wanaolalamika kwanini Diamond asiwaimbia utawaona Taifa wakienda kumsikiliza Diamond watalalamika kwenye mitandao tu but physically mioyo yao haisemi hivyo.Cjaelewa ulichokiandika naomba urudie tena
Huenda angeshavuka hapo alipo leo unajuaje? Lazima ufanye impact assessment ndio uweze kutoa hitimisho Kama hilo.herman joshua Kweli nimekosea si unajua niliandika nikiwa kwenye daladala alafu linanesanesa nilichomaanisha mbona diamond alifanya kampeni 2015 na ajashuka mpaka Leo na siku zinavyozidi anazidi kuongeza mashabiki Jana amefikisha 4M subscribers kwenye YouTube nakuweka record ya msanii pekee wa sub-saharan kawapita davido, Wizkid,burna boy n.k.hao mashabiki wa Yanga wanaolalamika kwanini Diamond asiwaimbia utawaona Taifa wakienda kumsikiliza Diamond watalalamika kwenye mitandao tu but physically mioyo yao haisemi hivyo.
Wako wapi Sasa kimziki hao unaowasema. Mimi Ni shabiki mkubwa wa diamond, najivunia kuwa na mtu Kama yeye kwenye industry ya music, anathubutu, napenda awe focused kwenye Sanaa ili awe huru kupata mawazo na support ya watu wote iwezekanavyo. Siasa zetu bado Ni changa Sana kuzishobokea, zina mengi sana bado.Mbona wasanii wengine ni mashabiki kwanini iwe nongwa kwa diamond
Tundaman -simba
Afande sele -simba
Mwana fa- simba
Maalim Mc -Yanga