Sasa huu si ujinga? Yey anaingiza mapenz kwenye biasharaMobeto X wake...
Jamaa kaweka bifu na wote mpaka kina lavaLava....hakuna ngoma ya WCB inachezwa pale.
Mimi ni shabiki wa wasanii wa WCB esp Diamond ila ukweli mchungu WCB hadi sasa wameloose sana kwenye hii bifu hasa upande wa hawa wasanii wapya Lavalava na Maromboso, hata hao wakongwe sioni kama wanashow nyingi kama zamani kwa hapa bongothis is not healthy anymore, ingekuwa dhidi ya Ruge peke yake sawa, mi naona apatane na mmoja kati ya hizo ili iwe win-win halafu media nyingine zipoteze, mfano apatane na IPP au aungane nao dhidi ya CMG maana naturally ni washindani hiyo itakuwa na faida kwa pande zote mbili ila kukosana na wakubwa wote sio sahihi kabisa
Kati ya Diamond na Raia wa Syria nani yupo ktk wakati mgumu unaostahili Mungu kuwa upande wao? Wananchi hasa watoto wa Syria wamemkosea nini Mungu hata wawe jehanamu ya hapahapa duniani? Ungekuwa wewe Mungu ungeweza ungemsaidia nani kwanza?Upande ulio haki...
Mmhhh!kweli ndo ndo sababu?Mobeto X wake...
Jamaa kaweka bifu na wote mpaka kina lavaLava....hakuna ngoma ya WCB inachezwa pale.
Hamna kitu kama hiko, mafikirio yenu tuMobeto X wake...
Jamaa kaweka bifu na wote mpaka kina lavaLava....hakuna ngoma ya WCB inachezwa pale.
Hamisa Mobeto ndo sababuMajizo ana tatizo gn na mondi
Majizo na hamisa si walishaachana amaindi nn sasaHamisa Mobeto ndo sababu
Majizo jinga kweli, papuchi tu ndo kamaindi
Hahaha huyu naye anatia aibu, afadhali wenzao wana sababu za kueleweka (maslahi)Hamisa Mobeto ndo sababu
Majizo jinga kweli, papuchi tu ndo kamaindi