Ibrahim300
JF-Expert Member
- Nov 29, 2010
- 390
- 68
Naomba kujuzwa,hivi huu mjengo haujakamilika tu?I think utakua zaidi ya ule wa mama Tiba!
Achana na masuala ya nyumba ya Chibu kwanza ilishaisha zamani sana na ameikabidhi kwa mama ake... hapa tuongee yetu kwanza, unasemaje... manake bado najiskia kizunguzungu!!!Haha haaaa,utawaharibia watu Christmas maana Kiba anasemwa alijenga miaka 7 yeye ndomo huu ni wa 4 sasa lakini hawasemi
Achana na masuala ya nyumba ya Chibu kwanza ilishaisha zamani sana... hapa tuongee yetu kwanza, unasemaje... manake bado najiskia kizunguzungu!!!
Si ya kuhusu maradhi yangu jamani... sihitaji tena huduma ya dokta anayepiga round asubuhi, na akitoka ndo imetoka hiyo hadi asikie nimezidiwa! Nahitaji muuguzi kama wewe mwenye sifa ya kushinda na mgonjwa 24/7... usinitishie nyau tafadhali kwamba eti kuna sindano!Yetu yepi hayo jamani?
Si ya kuhusu maradhi yangu jamani... sihitaji tena huduma ya dokta anayepiga round asubuhi, na akitoka ndo imetoka hiyo hadi asikie nimezidiwa! Nahitaji muuguzi kama wewe mwenye sifa ya kushinda na mgonjwa 24/7... usinitishie nyau tafadhali kwamba eti kuna sindano!
We nawee... mambo gani hayo ya kumtishia mgonjwa sindano?! Akikufia utasema nini?Ukisikia nesi fulani ana roho mzuri basi fahamu anahudumia wagonjwa wake wote bila ubaguzi... akimsikia huyu "yallah...!" anakimbia mara moja kwenda kumsikiliza huku akihoji "vipi baba, unataka chungwa au parachichi ...!" akimsikia mwingine wa kitanda cha tatu akitaharuki, "tobaa...!" nesi huyu mwenye roho mzuri wala hanyanyui mkono na kumuonesha sindano, atamwambia tu huyu wa kwanza, kwamba "subiri baba, nakuja mara moja...!"Heeee 😱 mimi mbona tayari kuna mgonjwa ninayemuhudumia 24/7?
Siwezi kumuacha hata dakika moja maana nitampoteza na mimi sitaki hilo litokee kabisa!
We nawee... mambo gani hayo ya kumtishia mgonjwa sindano?! Akikufia utasema nini?Ukisikia nesi fulani ana roho mzuri basi fahamu anahudumia wagonjwa wake wote bila ubaguzi... akimsikia huyu "yallah...!" anakimbia mara moja kwenda kumsikiliza huku akihoji "vipi baba, unataka chungwa au parachichi ...!" akimsikia mwingine wa kitanda cha tatu akitaharuki, "tobaa...!" nesi huyu mwenye roho mzuri wala hanyanyui mkono na kumuonesha sindano, atamwambia tu huyu wa kwanza, kwamba "subiri baba, nakuja mara moja...!"
Na ya Wema iko wapiii? ?
mbona i dont find any foto!!!!!!