wamesema ziko insta
Kwangu bado itakuwa ni fahari tu hata kama utaamua kuyafanya maradhi yangu kwamba ndio practical sample yako... kama ni kujichanganya, we jichanganye tu kwenye kaugonjwa kangu mimi; you know am your practical sample, right?... hata kama ilipaswa kupewa ka-panadol kamoja, we nidunge hata lidozi la wiki mzima la kwinini kwa mara moja... kwangu poa tu!Haha haaaa,unesi wangu mimi nimefunzwa kumhudumia mtu mmoja tu maana najua nitammudu vyema,wengi nitajichanganya badala ya kumchoma huyu sindano nitampa vidonge na mwingine vidonge badala ya sindano......
wamesema ziko insta
Si ya kuhusu maradhi yangu jamani... sihitaji tena huduma ya dokta anayepiga round asubuhi, na akitoka ndo imetoka hiyo hadi asikie nimezidiwa! Nahitaji muuguzi kama wewe mwenye sifa ya kushinda na mgonjwa 24/7... usinitishie nyau tafadhali kwamba eti kuna sindano!
Bilioni moja benki