Diamond amnunulia gari mzee gurumo!!

mbona ume act kama mchawi?
 
Sio kitu kibaya, mwenyewe Hicho ndicho alichopenda kumpa. Sasa kama kuna mwengn anahisi gari haimfai na ampe nyumba. Au amlipe mshahara kila mwezi.
 
Hongera diamond watu wachache sana duniani wenye moyo huo
 
Wabongo kwa roho ya kwanini yeye hatujambo.... Katoa msaada kutoa msaada sio kuchezea ela, video mil 30, mbona ndogo. Ukitaka pata ela wekeza vya kutosha kwenye kazi unauofanya na ndivyo anavyofanya diamond anawekeza sana kwenye kazi ndio maana anakwambia haoni hatari gharamia kazi yake
 
Ni jambo zuri amefanya huyu diamond...
 
pengine hazijatolewa jasho hata tone, muwacheniiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii aji-enjoy, from living in tandale areas, to be buying people cars!!! :wave:
Mbona mimi nimekulia Manzese uwanja wa Fisi na nimemnunulia mke wangu Gari zaidi ya 2......Kwanza kigari chenyewe Fun-cargo kina namba AYS... used iliyotukuka kama siyo third hand ni 4th hand......si zaidi ya Milioni 3 au 4 maximum>>Pesa ya kawaida sana...MIMI NAICHUKULIA NI PROMO KAMA PROMO NYINGINE TU
 
Iwe pesa ya sembe,ngano,dona atajua mwenyewe,wacha mzee ngurumo naye aonje ladha ya miguu minne-big up kwa mwana kajitahidi sana.
 
Si jipya hili gari amenunua kwa mtu ni used kwa hapa bongo kama sikosei ni T ...AYS

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
Si jipya hili gari amenunua kwa mtu ni used kwa hapa bongo kama sikosei ni T ...AYS

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums

wabongo bana..so hiyo used kachukua bure?we mbona hujamnunulia hiyo baiskeli mpya!!!bongo bana
 
Dogo kafanya vyema lakini asiishie hapo.inabidi awe anamtoa mzee na wekundu kadhaa wa kiwese kila wiki vinginevyo atauza hiyo gari
 
hongera Mz Gurumo chozi lako limefika kea muumba sasa sio baiskel tena big up Diamond
 
Kitu alichokifanya Huyu kijana, Kwa Mzee Ngurumo, hakika Amewashinda Watanzania Wengi katika kumuheshimu na Kumu enzi Gwiji hili la Muziki Wa dansi. Hakika sasa nitakua Namuangalia Diamond kwa Mtazamo Mwengine kabisa, katika Tasnia ya Mziki, na Kama Mwana jamii.













Kama ungekua Mwanangu, ningesema, nimekupa Baraka Zote katika MUZIKI sasa. Fanya Kazi yako, Hakuna Baya litakalo kukuta tena. Maana Kuna mambo ulinikera lakini sasa nimeyafuta rasmi kwa hili.

Napenda Mziko wako, MZIKI GANI, Moyo Wangu, Mbagala. Ispokua Ule Nataka Kulewa hakika Umenikwaza sana.
 
Mfano mzuri kukumbuka waKongwe na wazee walodumu katika ujenzi wa sanaa za jamii!! Big-Up For young Muscians..... OLD is Gold and New is pure !! Na wengine waiige ili tuendeleee siyo mnakula peke yenu !! LongLive Tanzania na utanzania wetu uwe mfano kwa vizazi vijayoooo!!
 
Unajua mchango wewe????
Serikali ingewatengenezea mazingira yanayoelewekwa wala pasingekuwepo na wasanii wakulialia na wala Diamond asingemnunulia gari kama inavyosemekana!!!!

Huyo mzee kaimba miaka mingap kama unafahamu....

Unalalamikia serikali??? kama ni hivyo sawa. kuhusu Diamond kafanya jambo la busara na anastahili busara, maana huyu mzee alipokuwa anaumwa hata hospital usafiri Daladala. Kamsaidia sana ndomana hata mzee kamshukuru sana.
 
hata tajiri wa home sc alitoa msaada wa milioni 800/= kwa waathirika wa mafuriko lakini ni mtuhumiwa mkuu wa usambazaji sembe.!
 
Binafsi si mshabiki wa Diamond kimziki ila kiukweli wasanii wengi Tanzania (wawe wa mziki au filamu) inabdi wamuangalie huyu jamaa na waige aliyo yafanya mpaka kufanikiwa kifedha kwenye fani iliyo kuwa inaonekana ni hobby tu. Kiukweli sanaa Bongo imekua ikilipa kwa muda mrefu sana Tatizo la wasanii wetu ilikua kwanza wakipata pesa wanazitumbua kwenye starehe badala ya vitu vya maendeleo na pili wakisha kuwa maarufu kidogo wanajisikia wanaacha kujituma wala kuvumbua vitu vipya. Mfano wa wasanii ambao walitakiwa wawe mbali sana kimaendeleo ni T.I.D. na Ray C. Chukulia mfano wa hata JD na alivyo weza kutumia sanaa kujiendeleza.

Mungu angemuweka hai basi Kanumba angekua mfano kwa wasanii wa filamu na Diamond ndio kama hivyo mfano wa wasanii wa Bongo Flava.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…