Anaimba nyimbo za kigumj sana anatakiwa abadilikeKama ningepata nafasi ya kuongeya na Diamond ningemshauri amshike mkono huyu sister Rosa Ree.
Mimi sio shabiki saana wa huyu dada na wala sio shabiki saana wa nyimbo zake.
Lakini Mara nyingi ninapo kuwa na Anglia reaction songs From Tanzania.
Na kutakana saana na video nyingi za huyu sister kufanyiwa reaction saana Na watu wa mataifa mbali mbali
Ila ukicheki video zake hanaga viewers wengi.
Huyu akipata sapoti kama ambayo wanapata Akina zuchu na wengine anaweza kutoboa zaidi kimataifa
Vannesa Dee naye alikuwa na son fulani za kimataifa hivi
Ndo rap hiyo, Kama kina Nick Minaj, dabrat, Eve e, miss Elliot.Anaimba nyimbo za kigumj sana anatakiwa abadilike
Hakuna msanii mwingine ambaye amemnyanyua msanii kufikia level kubwa kama anavyofanya Diamond ndio maana lazima Diamond ahusishwe๐Hivi Tanzania mwanamziki pekee wa kushika wenzie ni diamond peke ake?
Level gani hizo kubwa unazozizungumzia?Rosa Ree ndio ashikwe mkono? Kweli hujui mziki wala hufuatilii, ungekaa tu kimya. Rosa level zake ni kubwa mno
Chuki zimekushika sanaaa mkuu badilikaSijawahi kumwelewa huwa naona tu ana nyota ya kupendwa tu. Rosa Ree afananishwe na minaj? Bongo noma!
Sio chuki ila ndio ukweli wenyewe sijawah kumwelewa sioni maajab yoyote kwake. Ngoma yake moja tu ndio niliwahi walau ielewa ya up in the air.Chuki zimekushika sanaaa mkuu badilika