Diamond anacopy na hajui live performance. Sasa kwanini anatusua?

LICHADI

JF-Expert Member
Joined
Feb 4, 2015
Posts
4,491
Reaction score
12,560
Ukiwauliza watu hapa ni msanii gani anaependwa wengi watakwambia ni king kiba, na ukiwauliza ni msanii gani aneperfom vizuri watakwambia ni king kiba Ruby, Aslay etc

Sasa nachojiuliza kwa nini Alikiba na wasanii wengine wanaoongoza kwa kupendwa na kuimba vizuri hapa Tz hawatusui kama Diamond platnumz mzee wa kucopy, Ruby pamoja na kuimba vizuri kuna kipindi hadi kodi ya nyumba ilimshinda kulipa

Diamond akiweka kazi mtandaoni ndio inaongoza kwa kufwatiliwa, akiingiza video youtube ni balaa mamilioni ya views, ukiingia search engines za youtube na google wanasema anafuatiliwa sana, miezi mitano kaweka nyimbo ya yope aliyoshirikishwa na innos sasa hivi ina views millio ni 65, show za nnje hadi ndani anajaza

Hawa wasanii wanaosemekana wanapendwa mbona wana maisha magumu na hawatusui kama Diamond platnumz?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama umewahi kufanya biashara ya namna yeyote fafanua kwa maneno machache maana ya “mahitaji ya soko” nadhani tutapata pa kuanzia.
 
Watu wapi wamesema msanii anayependwa na watu wengi wakamtaja kiba tuanzie hapa kwanza?
 
Tukitoa kuiga style za wacko jacko na kiki za insta. Kijana hoiii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…