heaven on desert
JF-Expert Member
- Jan 25, 2013
- 1,025
- 393
huyu jamaa anguko lake linakuja vibaya sana.......nilikuwa nampenda lakini baada ya kuendekeza sifa za kijinga.....amenitoka kabisa......kitendo alichomfanyia Wema.....naliona ni ----- la kupitiliza.......
huyu jamaa anguko lake linakuja vibaya sana.......nilikuwa nampenda lakini baada ya kuendekeza sifa za kijinga.....amenitoka kabisa......kitendo alichomfanyia Wema.....naliona ni ----- la kupitiliza.......
There is no lifetime champion kwenye dunia hii.
Diamond atashuka kipindi chake kikifika, lakini si kwa sababu ya kumrekodi Wema.
Sisemi kwamba Diamond alifanya sawa, ila pia na Wema nae kazidi. Ni kama wewe Preta umeeolewa afu ex wako anakufatafata, inafikia hatua anakupigia mbele ya mumeo, utafanya nini? Utamchekea ex wako?
Diamond is a human being, anafanya makosa kama binadamu mwingine. Hata ukipiga goti kuomva ashuke kimuziki, kama time yake bado itakuwa kazi bure.
Support his music, stop hating for no good reason.
Mwache dogo akamate chapaa.....
huyu jamaa ana watu kila kona ya nchi hii,ndiyo maana CCM washashitukia hilo siku nyingii,so nao wanamtumia kwenye SHOW zao
ilikuwa ni leo kwenye mkutano wa ccm moro
Puuzi tu diamond!kanikeraaa mzalilishaji mkubwa.aombe msamahaa fans wake kwanza coz some of us katuboa
You sound like toy soldier.........!
huyu jamaa anguko lake linakuja vibaya sana.......nilikuwa nampenda lakini baada ya kuendekeza sifa za kijinga.....amenitoka kabisa......kitendo alichomfanyia Wema.....naliona ni ----- la kupitiliza.......
Diamond atashuka kipindi chake kikifika, lakini si kwa sababu ya kumrekodi Wema.
Sisemi kwamba Diamond alifanya sawa, ila pia na Wema nae kazidi. Ni kama wewe Preta umeeolewa afu ex wako anakufatafata, inafikia hatua anakupigia mbele ya mumeo, utafanya nini? Utamchekea ex wako?
tuache chuki binafsi, watu wanatumia totauti ya Wema na Diamond kupalilia chuki zao.na ukiangalia hao wanaodai kwamba Wema kadhalilishwa hawana lolote wanapretend wapo upande wake ilihali ni unafiki umewajaa.tuache kuchukia watu kwa mafanikio yao
Wema naye ni mjinga. Ni mjinga kwa sababu tayari alishaadhirishwa na Diamond pale Mlimani City mbele ya kadamnasi.
Angekuwa mtu mwenye akili angejiuliza - hivi huyu mtu mwenye uwezo wa kuniadhirisha hadharani namna ile, kwenye faragha si ndiyo itakuwa balaa?
Kwa watu wenye common sense kama mimi wala tusingejaribu tena ku-risk kuaibishwa tena na mtu huyo huyo. Hakujifunza mara ya kwanza sasa labda hii ya pili atajifunza. Mimi sina symphathy naye kabisa kwa sababu kajitakia mwenyewe.
You live and you learn.
Wema is a typical stalker ,she is on denial .Its over deal done ,wewe mwanaume sio wako wau uandike eti umechoka kuishi ufe tu .Stalkers are psychopath ,wanatishia kujiua na kadhalika .Huyu kaka ashasema anatarajia mtoto na girlfriend wake.tuache chuki binafsi, watu wanatumia totauti ya Wema na Diamond kupalilia chuki zao.na ukiangalia hao wanaodai kwamba Wema kadhalilishwa hawana lolote wanapretend wapo upande wake ilihali ni unafiki umewajaa.tuache kuchukia watu kwa mafanikio yao
kamdhalilisha kivip?
Je nikikwambia kuwa Wema ndo alitaka kajidhalilisha utakataa?
Kwa kilichotokea pale Mlimani city kwenye show ya Diamonds are Forever, Wema alijifunza nini?
Sikatai unaweza ukawa bado unampenda ex wako na ungependa urudiane nae lakini ambacho naona sio sahihi ni approach anayoichukua Wema.
Kwanini asitafute muda mzuri wa kukutana na Diamond? Kwanini apige simu usiku wakati mtu yuko na mkewe? Alitegemea ajibiwe nini?
Hata ungekuwa wewe umetoka kuachana na ex wako few days tu afu unafanya show, unataarifiwa na waandaaji kuwa ex wako kanunua table ya mbele kabisa. Je kichwani kwako utakuwa unawaza ex wako ana mpango gani na wewe?
Wema alijua kabisa by then Diamond anadate na Jokate lkn before the show akaenda nyumbani kwa diamond ili waende wote kwenye show, bado unaona huyu demu ana akili kweli?
Mbona hatusikii hizi drama between Diamond na Jokate au mademu wengine aliowafyeka?
Hatujui Diamond kavumilia vituko vingapi toka kwa Wema mpaka kufikia hatua aliyofikia, lets give him a benefit of doubt.
Ila Wema ni kimeo jaman, anapenda sana drama ili azidi kuwa midomoni watu.