huyu jamaa anguko lake linakuja vibaya sana.......nilikuwa nampenda lakini baada ya kuendekeza sifa za kijinga.....amenitoka kabisa......kitendo alichomfanyia Wema.....naliona ni ----- la kupitiliza.......
huyu jamaa anguko lake linakuja vibaya sana.......nilikuwa nampenda lakini baada ya kuendekeza sifa za kijinga.....amenitoka kabisa......kitendo alichomfanyia Wema.....naliona ni ----- la kupitiliza.......