Diamond anamtumia vibaya Harmonize

Washaanza kumbebesha sembe uyo dogo...juzi kati alikuwa south na washika dauuuu
 
Washaanza kumbebesha sembe uyo dogo...juzi kati alikuwa south na washika dauuuu

Ungesaini ma jina lako kwa kuweka hizi tuhuma. Usiwe na wasi JF watatoa data zitalapoombwa. Mumezidi

Mwenzenu jana kala miaka 2 jela.
 
Achana nae huyo manake wala hajui kwamba anatangaza products za WCB! Binafsi sijam-follow Harmonize kwahiyo nilikuwa sifahamu kabisa kuhusu huu mzigo!!!
Shardcole, ahsante kwa kunijuza kwamba kuna mzigo unaingia sokoni hivi punde!!!



Poa

Naona sasa anaenda mbali, hadi biashara anataka chafua.
 
yani wivu mpk mtu unajiuliza kuliko ni??
inakuwaje kila siku mtu huyo huyo kuanzisha thread za kumponda artist huyo huyo??. yani heeee, hem amwache mtoto wa watu!!

Labda ni "michambo ya madem alowapitiaga" you never know
 
Harmonize ni under 18yrs? Acheni umbulula, Dogo komaa mafanikio hayashuki kama mvua.
 
Bila kubeba sembe watamlipaje sasa lazma abebe tu hamna namna
pwilo wewe jamaa haueleweki kabisa umesimamia wapi mara DIAMOND anauza sembe mara freemason/mchawi nikisema unachukia mafanikio yake nitakuwa nakosea ??????
 
Last edited by a moderator:
pwilo wewe jamaa haueleweki kabisa umesimamia wapi mara DIAMOND anauza sembe mara freemason/mchawi nikisema unachukia mafanikio yake nitakuwa nakosea ??????
Wapi nilisema free mason kuuza sembe si kila mtu anajua chief kiumbe ndo alimfanya punda sana
Hayo ya free mason ni yako ila sembe na ndumba babu tale alikiri clouds fm huwa anaweka mambo sawa sio yeye ni karibia wasanii wote wanatumia hizo vitu
 
Last edited by a moderator:
Life is an experiment you can make da better.
Komaa We Aiola,achana nao.
 
Kidingi ujinga kivipi wakati wanatangaza biashara na sidhani kama amefanya bila ya maelewano DIAMOND si mpuuzi wa kiasi hiko wala Harmonize si mtoto wakufanya vitu asijue anafanya nini???????

Mbona wale wanaovaa boxer za calvin klein..tommy Hilfiger hawawapondi..kisa kavaa harmonize cha ajabu nini hapo.??? Kutuna au...mbona ht matiti ni sehem za siri na yanatuna hawashangai....beach je wanaogaga na jeans ...watu washamba sana....na kwanza hilo tangazo haliko kwenye tv au gazeti mpk wamuandame hivyo
 
Last edited by a moderator:
Waliozoea kuvaa chupi na bukta za mbeya city ndo wanashangaa hio picha tangaza bidhaa hio dogo itanunuliwa tu.
 
Nimezipenda hizo boxer zinauzwa wapi

Na wewe una mzigo kama huo?
Ila kuna yule modo sijui wa nchi gani nae anatangaza hizo biashara ya boxer......aiseee ni hatareeeeeeeeee.
Ana mzigo kama kabeba kilo 5 ya nyama steak, hadi raha.
 
Hapo ndo msaga sumu shardcore anapoonyesha kiwango chake cha gossip. Mungu akupe mafanikio katika carrier yako.
 
Na wewe una mzigo kama huo?
Ila kuna yule modo sijui wa nchi gani nae anatangaza hizo biashara ya boxer......aiseee ni hatareeeeeeeeee.
Ana mzigo kama kabeba kilo 5 ya nyama steak, hadi raha.
Madame B mzigo wa harmonize umeuonaje???????niku pm namba zake
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…