Diamond anatambuliwa kama mwanamke na channel hii ya kimarekani

Joined
Jun 28, 2016
Posts
21
Reaction score
22
Mmmmhhh!!! Hivi majuzi Diamond plutnumz (Nasib Abdul...Baba Tiffah)alioneshwa kwenye kipindi cha E-VIP kinachorushwa na channel ya kimarekani ya E! namba 124 kwa king'amuzi cha dstv. Kipindi hicho kimekuwa kikirudiwarudiwa mpaka sasa na wataendelea tu kukirudia cause Diamond anawapa viewers wengi tu ninavoamini kwani alikipromote kwenye account yake ya insta ili watu wakiangalie.

Nimeandika hii thread baada ya kushtushwa na information iliyoandikwa na channel hiyo juu ya diamond... imediriki kusema "....Diamond tells HER story in the music..........". Hivi hizi ni makusudi au bahati mbaya? Nilipoona siku ya kwanza nkajua watajirekebisha ila mpaka muda huu, info hiyo imebaki hivo hivo(inasomeka kwenye info DSTV).

Sijui wanatafuta nini hawa, nadhani hawawajui #teamplatnumz.....and above all mi nadhani Diamond can sue these people to get money cause kama ni kiingreza wanajua.

Hizi ni dharau, mbona wasikosee za kina Chris Brown, Lil Wayne etc?
 
mi nadhani diamond can sue this people to get money cause kama ni kiingreza wanajua.Hizi ni dharau mbona wasikosee za kina chris brown, lil wayn etc.

Kumbe awashitaki ili apate pesa! hahahah
 
Moja kati ya thread ambazo sijawahi kuielewa hapa jf!!
 
Third World Artist wetu anadharauliwa kirahis iv asee hawa jamaa,they real don care
 
KUuna haja ya kuupa fursa wakat will tell,mana hawa jamaa washatuonaga wakupumzikia tuu
 
Kama alienda na kipini chake cha puani lazima walijua sista duu....afu na yale matiti ya gym navinguo vile vya kubana.Poda nyingi,nyusi zimetindwa lazima ijitokeze identity misunderstanding.
 
Mbona huko kwa Obama wanatoboa pua sana tu. Huyu wa kwetu katoboa pua imekuwa nongwa?!!
 
Reactions: ora
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…