Diamond anauhusiano gani na Amina Kimwana?

tusidanganyane wadau huyo halima kimwana alikuwa anavuliwa chupi na diamond but walipoona wameshtukiwa wakaona waigize kama dada na kaka!!!
 
Atakuwa ndie anampeleka kwa Waganga ili azidi kung'araa

Bado unaamini ushirikina!!! Ni nguma sana kwako kufanikiwa iwapo unaamini mafanimo yanaletwa na mganga.

Sent from my GT-I9192 using Tapatalk
 
Mieni nillidhani anasutana na mwenzie kitaani kwao.hiyo mikono kwa kiuno na hiyo shingo alivyoiegesha
 
Kumbe mbaya hivi? Hapa diamond akipiga namshangaa

Bulldog, katika mapenzi kuna mambo mengi zaidi ya muonekano. Demu anaweza kuwa Mzuri lakini uki duu nae siku moja unafuta namba yake na kuiblock kabisa. Yaani unaona kama umerogwa vile kutembea nae. Ila anaweza kua lupita Nyongo lakini ngoma isambe ile mbaya. Kwa hiyo bulldog, temea mate chini kaka!
 
Sasa heaven on desert jibu swali la msingi hapa acha kupanic..huyu nyauba kimwana ni nani kwa diamond full stop!?
 
Last edited by a moderator:

Hata kama, kuna wengine hawana mvuto kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…