Diamond and Rommy Jones

Status
Not open for further replies.

Heaven on Earth

JF-Expert Member
Joined
Mar 21, 2013
Posts
37,226
Reaction score
26,687
Romy Jones alikuwa rafiki mkubwa
wa Ngwair. Kuanzia wanyama mpaka
radar entertainment lakini leo analishwa
bata na Diamond na
a Diamond huko fukwe moja ya
bahari wakati rafiki yake kipenzi bado hata hajapumzishwa
katika nyumba ya milele





source #mpekuzi #
 
Uo umbea na ww diomond yupo leaders nimemuona na tang kwenye vikao vyote vya msiba yupo ayo ya wp sasa
 
Eeeh wewe kazi za kufanya huna??,hadi kuchunguza fulani yupo wapi na anafanya nini?,mmh kazi kweli kweli,sasa wewe ulitaka afanyeje???
 
siyo kweli mkuu unamsingizia yupo leaders jipange.
 
Eeeh wewe kazi za kufanya huna??,hadi kuchunguza fulani yupo wapi na anafanya nini?,mmh kazi kweli kweli,sasa wewe ulitaka afanyeje???

hii ni moja ya kazi yangu.......,
 
Wako umezidi khaa,hadi unaboaa

naona unatafutia umaarufu jf mwana mtoka pabaya wewe
kama nakuboa si unatoka kimya kimya.......

umekaaga kishari shari tu sijui mijitu mingine ikoje
 


mbona wapo leaders mda huu?
 
Duh yaani nilikuwa nakuonaga bonge la mjanja,ila kwa hyo comment yako ya umaarufu dah ngoja,ninyamaze tu
 
heri ya huyo hata alionekana
jide naye kaishia wapi.
 
ukaribu wa rommy na marehemu ngwea kwasababu ya NGADA,ukaribu wa diamond na rommy UNDUGU WA DAMU
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…