Leak
JF-Expert Member
- Feb 22, 2012
- 52,916
- 43,505
Wasalaam wana jamvi!
Bila shaka hakuna ubushi kuwa Diamond ni msanii ambaye ameendelea kufanya vizuri Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla na hata Ulaya ana kubalika na hadi kufanikiwa kuingia kwenye vinyang`anyiro vya kuwania Tunzo tofauti kama Channel O, AFRIMA, BET na nyingine nyingi!
Katika kosa ambalo aliwai kulifanya kwenye muziki wake ni kuachi nyimbo mbili kwa wakati mmoja(Mdogo Mdogo na Bam Bam) na akitegemea zote zifanye vizuri maana kwa mujibu wake aliwekeza pesa nyingi kwenye hizi nyimbo pamoja na video zake hivyo mategemeo yalikuwa zote zimlipe!
Ni wazi Wimbo wa Bam Bam ulifeli na haukuwai kufanya vizuri kinyume na matarajio ya Diamond na Pesa alizowekeza +Nguvu na ulifanya vibaya kwa sababu nyingi sana pamoja na kukosa promo kulinganisha na Mdogo Mdogo!
Katika hoja za Diamond kutetea sababu za kutoa nyimbo mbili kwa mkupuo ilikuwa ni kupigania au kupambana na soko la kimataifa hivyo Wimbo wa Bam Bam aliutegemea umtoe zaidi kimataifa kuliko nyingine maana aliimba kwa kingereza na aliamini kuimba kingereza kungesaidia kumsukuma zaidi kimataifa!
Ukweli ni kwamba Wimbo wa Bam Bam haukuwai kumsaidia Kabisa Diamond kwenye biashara yake na ni wazi ni mmoja wa wimbo ulio mtia hasara na wengi wanaweza kunishangaa kwanini nasema umemtia hasara wakati anapiga show lakini wanatakiwa kujiuliza ni Mara ngapi huo wimbo umpush au kuutumia kwenye show zake? Kimsingi hata ukiangalia kwenye nominations alizopata kwenye Tunzo tofauti huu wimbo haupo kabisa na sidhani kama kuna mtu ameshawai kufikiri kama huu wimbo bado hupo!
Kuna interview moja alifanya kwenye kituo kimoja cha Tv hapa nchini Diamond aliulizwa kuwa mbona kuna watu wana lalamika kuwa matamshi yake hayasikiki kwenye wimbo wa Bam Bam lakini yeye alisema hahaha hao sio hawasikii bali hawaelewi......!Mimi siamini Diamond ana hitaji kuimba kwa kingereza ili kuteka uwanja wa kimataifa na katika hili liko wazi kabisa maana anapata show huko kwa kuimba kiswahili tuu.......
Ina hitaji nguvu kubwa sana na ubunifu wa hali ya juu kutoa nyimbo mbili na zote zika Fanya vyema na kukulipa! Hivyo Diamond anatakiwa kufikiri kwa kina anapo taka kutoa nyimbo mbili kwa wakati mmoja maana uhitaji kuwa na nyimbo mbili kupenya kima taifa bali wimbo mzuri,promo,ubunifu na lugha yako zina tosha kabisa!
Diamond kama Una mpango wa kutoa nyimbo mbili kwa lengo la kuteka soko la kimataifa nakushauri mpango huo uachane nao maana huitaji kubadili lugha au kutoa nyimbo mbili ili kupenya kimataifa! Ni vyema ukatoa wimbo mmoja kama ni kingereza au kiswahili na ukaufanyia promotion kuliko nyimbo mbili!
Karibuni Wana jamvi!
Bila shaka hakuna ubushi kuwa Diamond ni msanii ambaye ameendelea kufanya vizuri Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla na hata Ulaya ana kubalika na hadi kufanikiwa kuingia kwenye vinyang`anyiro vya kuwania Tunzo tofauti kama Channel O, AFRIMA, BET na nyingine nyingi!
Katika kosa ambalo aliwai kulifanya kwenye muziki wake ni kuachi nyimbo mbili kwa wakati mmoja(Mdogo Mdogo na Bam Bam) na akitegemea zote zifanye vizuri maana kwa mujibu wake aliwekeza pesa nyingi kwenye hizi nyimbo pamoja na video zake hivyo mategemeo yalikuwa zote zimlipe!
Ni wazi Wimbo wa Bam Bam ulifeli na haukuwai kufanya vizuri kinyume na matarajio ya Diamond na Pesa alizowekeza +Nguvu na ulifanya vibaya kwa sababu nyingi sana pamoja na kukosa promo kulinganisha na Mdogo Mdogo!
Katika hoja za Diamond kutetea sababu za kutoa nyimbo mbili kwa mkupuo ilikuwa ni kupigania au kupambana na soko la kimataifa hivyo Wimbo wa Bam Bam aliutegemea umtoe zaidi kimataifa kuliko nyingine maana aliimba kwa kingereza na aliamini kuimba kingereza kungesaidia kumsukuma zaidi kimataifa!
Ukweli ni kwamba Wimbo wa Bam Bam haukuwai kumsaidia Kabisa Diamond kwenye biashara yake na ni wazi ni mmoja wa wimbo ulio mtia hasara na wengi wanaweza kunishangaa kwanini nasema umemtia hasara wakati anapiga show lakini wanatakiwa kujiuliza ni Mara ngapi huo wimbo umpush au kuutumia kwenye show zake? Kimsingi hata ukiangalia kwenye nominations alizopata kwenye Tunzo tofauti huu wimbo haupo kabisa na sidhani kama kuna mtu ameshawai kufikiri kama huu wimbo bado hupo!
Kuna interview moja alifanya kwenye kituo kimoja cha Tv hapa nchini Diamond aliulizwa kuwa mbona kuna watu wana lalamika kuwa matamshi yake hayasikiki kwenye wimbo wa Bam Bam lakini yeye alisema hahaha hao sio hawasikii bali hawaelewi......!Mimi siamini Diamond ana hitaji kuimba kwa kingereza ili kuteka uwanja wa kimataifa na katika hili liko wazi kabisa maana anapata show huko kwa kuimba kiswahili tuu.......
Ina hitaji nguvu kubwa sana na ubunifu wa hali ya juu kutoa nyimbo mbili na zote zika Fanya vyema na kukulipa! Hivyo Diamond anatakiwa kufikiri kwa kina anapo taka kutoa nyimbo mbili kwa wakati mmoja maana uhitaji kuwa na nyimbo mbili kupenya kima taifa bali wimbo mzuri,promo,ubunifu na lugha yako zina tosha kabisa!
Diamond kama Una mpango wa kutoa nyimbo mbili kwa lengo la kuteka soko la kimataifa nakushauri mpango huo uachane nao maana huitaji kubadili lugha au kutoa nyimbo mbili ili kupenya kimataifa! Ni vyema ukatoa wimbo mmoja kama ni kingereza au kiswahili na ukaufanyia promotion kuliko nyimbo mbili!
Karibuni Wana jamvi!