Kupitia Diamond nimekuja kugundua muziki ni zaidi ya lugha,Kitorondo ipo juu kutokana na mdundo wake na kingine ile video yake ipo safi.
Ile ya bam bam mi nilikua nasikia michael jakson na philipines eyes sijui ninii
Aiseee
Nafikiri pia alivyotoa video imekaa mda ndo ametoa audio kidoogo ni shider.lakini my view on this bumbum kwanini aende kuimba kizungu huku hayuko comfortable?hio ndio sababu watu hawaujui wala kuupromote wimbo.unapromotije kitu hata hakiimbiki?na yeye nae hapa sijui alituonaje,producer nae akaweka hela mfukuni huku anahakikisha lyrics haziskiki...eeee aaa ye aimbe zake kiswahili basi tutapromote tu EA and Central ,west and south awaachie wanigeria
Ushauri mzuri sana,pia mimi sijaona sababu ya kuimba kiingereza kisa aliteke soko la nje...ninavyojua mimi hata shows anazopata huko ni za watz wenzetu,sasa kuna mtanzania asiyejua kiswahili???
Hakupewa ushauri mzuri!