Diamond anunuliwa Ferrari na baby wake, Zari The BossLady

Mbona kama posche hiyo au macho yangu!! Hicho kilebo cha ferrari au posche
 
Teh teh teh teh wale wanaoupenda umaskini watapiga mayowe sana.. Watakwambia wote tutafukiwa na mchanga, watasema Vits na Porsche ni sawa tu.. Wakishindwa sana watasema Porsche ni gali za mademu teh teh

Hahahahaaa
 
Kwa kiswahili hii kauli ina maana gani?:confused2::confused2:
.........................................
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…