Mbona kama posche hiyo au macho yangu!! Hicho kilebo cha ferrari au posche
Teh teh teh teh wale wanaoupenda umaskini watapiga mayowe sana.. Watakwambia wote tutafukiwa na mchanga, watasema Vits na Porsche ni sawa tu.. Wakishindwa sana watasema Porsche ni gali za mademu teh teh