Diamond anunuliwa Ferrari na baby wake, Zari The BossLady

Watu wanamaudhi duniani!!! Baada ya fitina za kutompigia kura kumalizika KTMA baby kaona ampoze mchuchu kwa Lamboghin!!! Haya hizi hasira mkimkosesha na hizi za MTV naona baby atashusha Private Jet

Hahahahaaa uwiiii! Umeua aiseee.
 
Khaaa Jamani wambea wenzangu nimewamiss. Haka ka upepo kataisha lini Sijui, kila Nikiingia humu naona Ni full kukurupushana na kulishana ndimu Hahahahah. No umbea tena mweee,....nimepita tu kuwasalimia na kanyagio langu Kama twangio.
 
Ni mzigo kwa Taifa tangu awamu ya Nyerere tunapigana na adui ujinga wewe unashabikia kuwa mjinga? Msiba huu.

ndiyoooo!!wajinga tena wajinga paseeeee!!!nashangaa wewe mwerevu unabishana na wajinga huoni na wewe unaingia kwenye ujinga??!!wacha tuwe mzigo maana tumeuchagua!!
Kutubadilisha hauwezi na ikiuma sana meza viwembe matola!!
 
Khaaa Jamani wambea wenzangu nimewamiss. Haka ka upepo kataisha lini Sijui, kila Nikiingia humu naona Ni full kukurupushana na kulishana ndimu Hahahahah. No umbea tena mweee,....nimepita tu kuwasalimia na kwato langu Kama twangio.


hhhhaaaaaaaaaa mamaeeee humu full kuchekaaaaa tu
 
ndiyoooo!!wajinga tena wajinga paseeeee!!!nashangaa wewe mwerevu unabishana na wajinga huoni na wewe unaingia kwenye ujinga??!!wacha tuwe mzigo maana tumeuchagua!!
Kutubadilisha hauwezi na ikiuma sana meza viwembe matola!!


usijichoshe kuandika gazeti waache wao waandikeee banaa,hebu subiri nipokee simu Daimond anapiga
 
Wachawi na huku wamefika hahaahh jamani anawaumiza huyu yaani hawapumui .
Basi ndo watavimba balaa hahahaahahah

Jamani waacheni watu na bidii zao nyie na wafalme wenu mfanye yenu.
 
Khaaa Jamani wambea wenzangu nimewamiss. Haka ka upepo kataisha lini Sijui, kila Nikiingia humu naona Ni full kukurupushana na kulishana ndimu Hahahahah. No umbea tena mweee,....nimepita tu kuwasalimia na kanyagio langu Kama twangio.

Hahahahaaa, umbea uko likizo shoga..
Hapa tunajichekea viroja vya wakurupukaji....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…