Lamborghini watu wamesahau adi tuzo zao 5 hahahah Diamond anakipaji si chakuimba tu. Mpaka kucheza na akili za watu hahaha
hhhhaaaaaaaaaa mamaeeee humu full kuchekaaaaa tu
hhhhhaaaaaaaaaaaaa wana marihenge kabisaa kila kitu ni PhotoShop,watashaaaaaaa
So kwa pamoja inakuwa ni wenye akijingawenye akili wanabishana na wajinga =wote tunakuwa na akili moja hhhhhaaaaaa
Ha ha ha weka ushahidi hapa nataka kuanza kuraeson ​u know?
Eti wanasema hiyo ni photoshop hahah Lamborghini imewapa makengeza.
hhhhhaaaaaaaaaaaaa wana marihenge kabisaa kila kitu ni PhotoShop,watashaaaaaaa
Chezea stress za kuosha mavi ya mtu mzima ndio mkono uende kinywani hahah
Yani Mimi Nipo tu Huku nacheka sina mbavu, siamini Kama ule Umoja we wambea umekwenda likizo. Sio kwa makavu mnayopeana, wenye roho ndogo tungekuwa tushalia. Mpunguze basi kuchambana Jamani lol
Khaa yani naona full mvurugano, kama mlikuwa hamshirikiani kwenye umbea vile. Anyway Ni ka upepo tu katapita, na umbea utarudi Kama zamani. Me naogopa hata kucomment, hukawii kupewa Bango lako humu ukajikuta unalia peke ako hahahahHahahahaaa, umbea uko likizo shoga..
Hapa tunajichekea viroja vya wakurupukaji....
Anayesema ni photoshop na yeye hajielewewi kama nyinyi tu, Lamborghini Dubai ni police patrol car. Tembeeni muoshe macho.
Vipi, bado unatafuta niliposema kuwa hilo gari si lake au umeshindwa kupaona?
Wachawi na huku wamefika hahaahh jamani anawaumiza huyu yaani hawapumui .
Basi ndo watavimba balaa hahahaahahah
Jamani waacheni watu na bidii zao nyie na wafalme wenu mfanye yenu.
Hahahahaaa, chezea mimi wewe? Watu walijipa likizo ghafla.
Hata hivyo leo nina majembe yangu hapa nimeishia kucheka tu hadi kichwa kinauma.
kama we ni mgenu hautujui humu utaandika mno magazeti humu lakin tunaojijuaa humu alaaaa wacha sebene lizidiii mi mwenyewe nachekaa balaaa huku nilipo
Ha ha ha weka ushahidi hapa nataka kuanza kuraeson ​u know?
Wachawi na huku wamefika hahaahh jamani anawaumiza huyu yaani hawapumui .
Basi ndo watavimba balaa hahahaahahah
Jamani waacheni watu na bidii zao nyie na wafalme wenu mfanye yenu.
huko Dubai tangulia tutakukuta tushangae woteee
Hahahah me nishawazoea, nabaki tu kuuguza mbavu zangu. Ngoja niendelee kujichekea mie niongeze siku za kuishi. Yani hizi siku 2 mmenipunguzia stress Kabisa mwee