Matola acha hizo maambo aisee, unarusha maneno makali sana, by the way mimi sina team.Ukisikia ujinga ndio huu ujitekenye mwenyewe ucheke mwenyewe na kujijambisha ujijambishe mwenyewe na dole ujizamishe mwenyewe! Mnatia aibu.
nitakuja pm nikupe ule ubuyuu ,,,,magazeti sisomi mieee wawapelekee watoto wao wasome
Huyo mchizi anaitwa nani? Hapo Kama south Africa? Inawezekana Zari kamvua Huyo jamaa ndinga.
Diamond we ni noumarr sana jua sanaa kucheza na akiri za watu kama hapoo <figure of speech) halafu anajua kujipiga promo aisee, daaah ila jamaa kama ni certifications za attention seeking jamaa ana postgraduate aiseee...mimi namkubali sana huyu jamaa mzee wa miongezeko ......
dina unanivunja mbavu wallah tena!wanaleta unafiki wao hapa nani hajui kama hata wao ni majinga!?
Kuna ujinga mkuu duniani kama kumpigia kura mtu wa nje na kumuacha mtz mwenzako?
kwani utaratibu wa kampuni uliofanyakazi ndio utaratibu dunia nzima???
Hata magazeti pia unaeza kutumia "kujipepea" sio lazma kusomayaan magazeti mi nitasoma siku nyinginee,bora ingekua tishu tungejifutia mikono
kadandia trekta huyo
Ha ha ha baba samira ana mambo ukingea neno moja anakuja na gazeti af limejaa fix tu
Hata magazeti pia unaeza kutumia "kujipepea" sio lazma kusoma
Ukisikia ujinga ndio huu ujitekenye mwenyewe ucheke mwenyewe na kujijambisha ujijambishe mwenyewe na dole ujizamishe mwenyewe! Mnatia aibu.
Umeongea kweli mtupu hizo team ushuzi ni za watoto wa mulugo
Ndorrrrrrobo siku hizi magazeti hatusomi ni kujipepea tu ha ha haasavali umenipa aidia
nitakuja pm nikupe ule ubuyuu ,,,,magazeti sisomi mieee wawapelekee watoto wao wasome
Matusi yenyewe matusi sasa aaaaggrr ni ujinga ujinga tu afu vikimaliza vinaitia kaneno "upo hapo" ukiona mtu ana kineno cha hivi ni kiproduct cha mlugo tu division two ya point 50 pita tu usiongee nae heshima yako ikashukaTechno wameleta janga. Yaani vina matusi kama ndo vimebalehe muda si mrefu :becky::becky:.
Lamborghin oyeeeeeeeeeeeeHahaha hahahaha.... Diamond oyeeeeee
blah blah blah just answer a simple question.....utaratibu wa kampuni uliofanyia kazi ndio utaratibu wa dunia nzima?? nimefanyakazi sana kwenye car rentals nazijua inside out.
Ndorrrrrrobo siku hizi magazeti hatusomi ni kujipepea tu ha ha ha
Yaani leo ninafuraha ya ajabu!!kama ameweza kumpa hilo shavu lenye mtonyo wa maana!atashindwa nini kumzalia mtoto
Nakwabia leo watu vinyeo juu hata kinyesi hakitoki!!!