Zingine hizi hapa kwa anayetaka kukodi in South Africa.
Hahahahaaa, hiyo ilikuwa lini? Maana sikuinyaka kabisa.
Naona umehamia google ha ha ha mara ugoogle magorofa mara magari lol leo utaota Lamborghin
Zingine hizi hapa kwa anayetaka kukodi in South Africa.
Hahahaahahah wanazidi kununa hadi mashavu yanaelekea kupasuka
Naifananisha kampeni yako chafu na kampeni za wapinzani kumng'oa nkurunzinza kwani walifanikiww basi? The rest ni history hahahaahahah
Penda sana nyie dadaz Dinazarde Evelyn Salt na Kimbley
Hollaaaaa pamoja sana.
yaan penda Sana wewee,,,,penda unapopendwaa aiiiiiiiii,pamoja sanaa
Naona umehamia google ha ha ha mara ugoogle magorofa mara magari lol leo utaota Lamborghin
Labda unanifananisha, hapa tunaweka kumbukumbu clear, maisha yangu ni yangu wala cha mtu sitamani pale aluponijalia Mungu nashukuru sana, mimi mwenzako hata nikifikia uwezo wa kununuwa hayo Malambogini nitapeleka cash yangu kunnunuwa matrekta na matrack, usidhani kila mtu ana akili za kitamthilia.
Ha ha ha et usingizi wa mang'amng'am lol.....kisa diamond
Heheee yaan humu Kuna hotuba ,risala kila kitu
Ilikuwa mwaka Jana,watu wanajua kutafuta attention
Asante sana Dada halafu wamekaa kimya si wanyooshe white flag tu..mbona hamna ubaya hshahahahhahah
Si diamond tu,dj choka alishawahi kuweka chupi ya mke wake Insta ikawa topic
mkuu inaonekana wewe ni mmojawapo ya walioumia kupata hizi taarifa at first. Swali je ikiwa kweli ni lake itakuaje?
hahaha kabisa jinsi watu wanavyocomment humu unafeel kabisa wanavyoumia unajiuliza sasa huo usiku watalala unono kwel?
Dina anakuambia google na vikombe na masahani ha ha haLabda unanifananisha, hapa tunaweka kumbukumbu clear, maisha yangu ni yangu wala cha mtu sitamani pale aluponijalia Mungu nashukuru sana, mimi mwenzako hata nikifikia uwezo wa kununuwa hayo Malambogini nitapeleka cash yangu kunnunuwa matrekta na matrack, usidhani kila mtu ana akili za kitamthilia.
ila unafikiri watavote kwa muda mrefu. Wataacha tu. Maana negative energy itawashinda na watasahau habari ya ku vote watabaki kelele. Meene ku vote persistently lazima uwe motivated na positive energy. Ukienda na negative energy ni kama unachota maji bombani unaenda kumwaga baharini. Kwa hiyo kama unaelewa sailkolojia unawapuuza tu kama wapuuzi wanaojaribu kuzuia mafuriko kwa mikono:becky:kweli kabisa mkuu yani kuna watu wanajichumia dhambi za bure adi Mungu anashangaa maana huwezi niambia mtu anapiga promo kabisa kua eti tuvote kwa sijui davido au wizkid huku akimponda mtanzania mwenzake, ukiuliza ata kuonana nae live hajawai ni kwenye mitandao tu ila unakuta mtu ana chuki adi unaogopa ila ukija kuchunguza kwa undani unapata jibu kua ni wivu tu ndio unamdrive mtu kua hivyo.
Lamborghin ingekua ya diamond leo boxer ingembana lol kachachawa amebaki anagoogle google tuamebakiza Tu kugoogle masahani na vikombe jamani lambojin imeleta mambo Leo watu hawatalalaa