Kwani Kiba hayupo MTV nae tumpigie kura mazee ?
Nilikuwepo wapendwa asubuhi baniani ananisubili kubeba box.
Alamsiki.
siku hiz nawe unabeba box hu hu huuu
Mimi nakushauri tu seti vizuri mwanga wa screen yako maana wiki hii mimacho itakuwa myekundu na huko ulipo mimacho ikiwa myekundu waweza kuuwawa wakidhania wewe ni mchawi kumbe umbea wa JF.
By the way hivi hao shemeji zetu mnawapaga saa ngapi huduma za ndoa? Maana kupika mtasema dada wa kazi yupoB-) ;-)
Ngoja nidisconnect internet kabisa nisipate notification.
Rais wa wabeba mabox Nyani Ngabu akifurahi atakupa tafsiri ya kupiga box.
Adios.
Sie huku kwetu ndo jogoo anawika kumekucha,ulale salama uote hii ndinga ya leo ha ha ha good night matolaNilikuwepo wapendwa asubuhi baniani ananisubili kubeba box.
Alamsiki.
Assume next year Kiba yupo MTV, hatahitaji kura za Team Diamond ? Mi simpenzi wa muziki kihivo, ila naona dalili za kudidimizana.
Kiba Team na Team Diamond bila uzalendo mtakua mna badilishana zamu ya kuumizana wenzenu watawacheka.
waombe sanaaa asiitwe tuzo yoyote ya nje,lazima tulipe
hv hizi tuzo ni lini
Hivi unadhani aliyetuita Wadanganyika alikosea?
Maana huhitaji kwenda mbali kuliona hilo....shinda masaa machache tu humu, bingo!
we nyani kumbe ujanja wote unajua kubeba mabox tu,yaani uliamini kaMA KWELI dogo kanunuliwa lamborghini:glasses-nerdy:Hahahahaaa kwa hiyo kumbe hata siyo kweli?
Kumbe ndio maana huyu dogo watu makini hawamzimii kabisa inaonekana mpaka leo haamini kama yuko kwenye maisha ya class flani halafu bado hariziki anatamani level za kina Omari Bakhresa?
Ufukara ni mbaya sana unashusha uwezo wa kufikiri kabisa.
Huyu kama anataka kujifananisha na Davido anapotea sana hamuwezi kwa lolote si kimuziki wala chochote mwenzake kazaliwa kwenye familia bora. Hizi mbwembwr nyingine ni ututusa hawa kina Babu inabidi wamfundishe kubehave, kuna level ukifika hutakiwi kufanya ujinga fulani huyu kwa uswahili wake inabidi afundishwe hata namna ya kushika uma wakati wa kula na jinsi ya kushika glasi.
Kwani imeandikwa wapi kwamba zari ndo kamnunulia????
Assume next year Kiba yupo MTV, hatahitaji kura za Team Diamond ? Mi simpenzi wa muziki kihivo, ila naona dalili za kudidimizana.
Kiba Team na Team Diamond bila uzalendo mtakua mna badilishana zamu ya kuumizana wenzenu watawacheka.
Cha ajabu mlio na akili nao mmekomaa kujadil na wajinga..!! Au ndo akili za kupanda juu ya mwembe kuona kama embe limeiva kisha unashuka chini kuendelea kulipopoa...?? Mxuuuuiiiiii...