Aisee ni noma.. Atafanya watu wakeshe leo wanapiga kura kwa Davido, hahah natania jamani.. Hongera kwake kiukweli ni jambo la kheri hili.
Hahahahaaa
Naanza biashara ya kuuza malimao wadau!!
Awwww hadi raha.....
Ushahidi kwamba kanunuliwa hiyo Lambo na Zari uko wapi?
Au mkishaona mtu kapiga picha na kitu tayari mnameza hook, line, and sinker?
We unao ushahidi kuwa we ni mtoto wa baba ako?
Wengine hata hatujui aina za magari lakini hata iwe Ferari sijui posche ama Vits tunachojua ni kua kanunuliwa gari
We unao ushahidi kuwa we ni mtoto wa baba ako?
We unao ushahidi kuwa we ni mtoto wa baba ako?
Umeshafika teh teh teh
Aisee ni noma.. Atafanya watu wakeshe leo wanapiga kura kwa Davido, hahah natania jamani.. Hongera kwake kiukweli ni jambo la kheri hili.
We unao ushahidi kuwa we ni mtoto wa baba ako?
Mbona kama posche hiyo au macho yangu!! Hicho kilebo cha ferrari au posche
Teh teh teh teh wale wanaoupenda umaskini watapiga mayowe sana.. Watakwambia wote tutafukiwa na mchanga, watasema Vits na Porsche ni sawa tu.. Wakishindwa sana watasema Porsche ni gali za mademu teh teh
Atakwambia mama yake ndio anavyommwambia!!