Diamond anyimwe ruhusa kusafiri nje ya kufanya matamasha, akiwa jeuri afutiwe passport

Yaani ni ajabu sana Mkuu, baadhi ya Watanzania wana roho mbaya sana wakimuona mwenzao ana maisha mazuri kwa juhudi zake mwenyewe si mwizi, fisadi wala jambazi wao wanaumia. MXCIUUUUUUUU!!!
tabu tupu mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…