Anatakiwa awe na mhasibu. Siyo busara kufanya kila kitu yeye..I can only imagine hali ya mwanamke aliyemchomolea diamond back in the day...... View attachment 1618814
Pesa ndio freedom yenyeweUkiwa na pesa ili uishi vizuri utahitaji FREEDOM.
JidanganyePesa ndio freedom yenyewe
Manji yuko wapiPesa ndio freedom yenyewe
Immagine pia alowatindua k enzi hizo"I can only imagine hali ya mwanamke aliyemchomolea diamond back in the day...... View attachment 1618814
Yupo DarManji yuko wapi
nakaziaNi kweli diamond ni mchapa kazi na rolemodel wa wengi. Kila mtu anajua huyu jamaa anapesa zake ila kila mara kuringishia watu hela mtandaoni kanakwamba sio mzoefu wa Mlimiliki hela nyingi hivyo anataka watu wajue ,...huo ni ushamba.
diamondplatnumz fanya uji-update version unayotumia imeexpire.
Sio kuringiahia anakupa jasira kama hivi halafu anakupa somo kuwa hata wewe unaweza halafu baada ya hapo unaanza kuchapa kazi.Ni kweli diamond ni mchapa kazi na rolemodel wa wengi. Kila mtu anajua huyu jamaa anapesa zake ila kila mara kuringishia watu hela mtandaoni kanakwamba sio mzoefu wa Mlimiliki hela nyingi hivyo anataka watu wajue ,...huo ni ushamba.
diamondplatnumz fanya uji-update version unayotumia imeexpire.
I can only imagine hali ya mwanamke aliyemchomolea diamond back in the day...... uView attachment 1618814
umeshamwona Bakhresa,Marehem mzee Mengi,Mmiliki wa OilCom,Mo au mmikiki wa Precision air akionyesha hela kama hivi???I can only imagine hali ya mwanamke aliyemchomolea diamond back in the day...... View attachment 1618814
Niungane nawe, huu ni ushamba! Au sijui ulimbukeni au labda utoto! Au ndiyo tabia zetu za uswahili.Ni kweli diamond ni mchapa kazi na rolemodel wa wengi. Kila mtu anajua huyu jamaa anapesa zake ila kila mara kuringishia watu hela mtandaoni kanakwamba sio mzoefu wa Mlimiliki hela nyingi hivyo anataka watu wajue ,...huo ni ushamba.
diamondplatnumz fanya uji-update version unayotumia imeexpire.
Mwana FA tafuta pesa ila usipige nazo picha. Kupiga picha na Ela ni umaskini inaonekana umepata Ela ki makosa. Umewah kumuona Bakharesa kapiga picha Ela zake, au billgate?Ni kweli diamond ni mchapa kazi na rolemodel wa wengi. Kila mtu anajua huyu jamaa anapesa zake ila kila mara kuringishia watu hela mtandaoni kanakwamba sio mzoefu wa Mlimiliki hela nyingi hivyo anataka watu wajue ,...huo ni ushamba.
diamondplatnumz fanya uji-update version unayotumia imeexpire.
umeshamwona Bakhresa,Marehem mzee Mengi,Mmiliki wa OilCom,Mo au mmikiki wa Precision air akionyesha hela kama hivi???
Kwenye Dunia ya wenye fedha huyu anaonekana ni Limbukeni na sio mjanja au tajiri.. real money dont make sound...ni vijicent ndo upiga kelele.Akikuwa ataacha
Dunia ilishatoka huko kwenye kubeba mabulungutu ya hela,tupo kwenye Dunia ya teknolojia,huo ni ushamba,ulimbukeni au kutokua na elimu,
Nampa big up kwa kujituma na kutengeneza fedha kwa maisha yake ila show off anayofanya ni ya kitoto sana kwa level yake.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]50 cent na pesa zake zote alienda Southern France akakutana na ma don yakawa yanauliza “huyu ni nani “ yani kuna mijitu ina pesa kiasi kwamba hata haimjui 50 cent alafu anakwambia “sikujali hata kwa sababu kama ni pesa hata mimi ninazo”. hii inaonesha kwamba matajiri wakubwa wengi hawaishi maisha ya kuonesha pesa zao kiasi kwamba wapo watu wana hela kuliko hawa tunaodhani sisi kwamba ndio matajiri
Kwa mujib wao, kipi Cha thamani?akikua ataacha,Time ina mengi kuna majuto nk .ukimsikiliza Mike Tyson anasema ma mikanda yale aliyokuwa akipata hayana thamani tena kwake japo ni ya bei ghali, enzi za ujana wake alikuwa ananunua gari sita kwa wakati mmoja na kuvaa saa za almasi sasa hivi anasema ule ni utoto na amebadilika hata jack chain nae anasema hivo hivo
Kaka kuna kadi za Visa zinaitwa Platnum Credit Card(kama anavojiita) bank yako ikikupa hii card kwa hapa Tanzania ,unauwezo wa kutoa pesa taslim mpaka million 70!!.Pia ina benefits nyingi sana. hoteli nyingi ukiwa nayo menaja wa hotel lazima akuone 😁kama mjanja na anazo hela atuonyeshe hii kadi,kidogo ntaweza amani kuwa ana pesa.50 cent na pesa zake zote alienda Southern France akakutana na ma don yakawa yanauliza “huyu ni nani “ yani kuna mijitu ina pesa kiasi kwamba hata haimjui 50 cent alafu anakwambia “sikujali hata kwa sababu kama ni pesa hata mimi ninazo”. hii inaonesha kwamba matajiri wakubwa wengi hawaishi maisha ya kuonesha pesa zao kiasi kwamba wapo watu wana hela kuliko hawa tunaodhani sisi kwamba ndio matajiri
Kizazi cha kina tyson na jack chain sio sawa na cha sasa...kizazi cha sasa wengi wanajitambua, wanakula bata ila wanawekeza piaakikua ataacha,Time ina mengi kuna majuto nk .ukimsikiliza Mike Tyson anasema ma mikanda yale aliyokuwa akipata hayana thamani tena kwake japo ni ya bei ghali, enzi za ujana wake alikuwa ananunua gari sita kwa wakati mmoja na kuvaa saa za almasi sasa hivi anasema ule ni utoto na amebadilika hata jack chain nae anasema hivo hivo