ESPRESSO COFFEE
JF-Expert Member
- Sep 6, 2014
- 6,170
- 7,665
Hii ni kunduchi ww unaisemea wapi?Nadhani hii ndo alinunua kipindi kile, kaifanyia marekebisho tu.
Yeye anapenda kuviita vibanda,leo tena amekamilisha manunuzi ya nyumba nyingine maeneo ya kunduchi kupitia Dalali mwanamkee.....Naona Diamond kila akimsainisha msanii katika lebo yake laZima aongeze na nyumba
Je kuna haja ya kumchukia Diamond kama wengine wapo bize kubadiri mademu yeye yupo bize na nyumba
HahahahahBasi mie nikajua kapata 'K' mpya... πππ
Duh !! Mkuu uko deepBasi mie nikajua kapata 'K' mpya... πππ
Huyo ni msanii, kama wewe siyo jamii yao utakuwa wa ajabu sana. Kwa wasanii na hata jamii wanahamasishwa katika mambo mengiikiwa mtu hajaamua kuweka vitu vyake wazi haimaanishi kwamba hana, mbona hesabu simpo tu hiyo, au mnataka kila mtu awe kama d
Kuna tatizo la gramma, tumia kiswahili, tunachoka kukosoa.I love them ...but I just don't understand why they're having such a problem finding the house when they can have something built from the ground up that is their dream house with as much money as they have!!! Wish it. Had that problem!!
poa poa mkuu, enjoyHuyo ni msanii, kama wewe siyo jamii yao utakuwa wa ajabu sana. Kwa wasanii na hata jamii wanahamasishwa katika mambo mengi
1. Kujituma
2. Ukipata wekeza kwa maisha ya baadae
3. Wahamasishe wenzako na jamii ili waheshimu muziki kuwa ni kazi kama kazi nyingine.
Usiingie kwenye kundi lisilokuhusu utaumia kwa chuki isiyo na maana.
I love them ...but I just don't understand why they're having such a problem finding the house when they can have something built from the ground up that is their dream house with as much money as they have!!! Wish it. Had that problem!!