Diamond Aongeza Nyumba nyingine

Hongera sana DIAMOND kwa kuchagua njia nzuri mno ya uwekezaji, nyumba ulizozinunua + video zako na za wasanii wako = UNGENUNUA MAGARI PALE STATE HOUSE PARKING INGEKOSEKANA.
 
Angemnunulia mr nice ht bodaboda azungushe town
 
Ts gud,but Diamond sasa anahtaj gari la kifahari zaidi.Nadhani kwa sasa yeye ndo msanii pekee wa A -List Africa anae-push mkoko cheap zaidi ukilinganisha na wenzake.
 
Ts gud,but Diamond sasa anahtaj gari la kifahari zaidi.Nadhani kwa sasa yeye ndo msanii pekee wa A -List Africa anae-push mkoko cheap zaidi ukilinganisha na wenzake.
Huo ndio ushauri tusioutaka!! Kuonyesha ufahari wa magari ni ujinga, gari sio asset ni liability!! Aendelee kuwekeza kwenye asset namna hiyo hata siku akishuka kwenye mziki ana uhakika wa maisha na urithi kwa mwanaye.. Sio kuendesha Lamborghini alafu hujui keshi yako ikoje
 
Maisha ya ki-star ni tofaut kidogo na haya ya watu wa kawaida.
Ni kweli kuwekeza ni muhimu lakn pia ukubwa wa msaanii unapimwa na vitu kama hivyo.
Hii formula inatumika dunia nzima.Huwez kuwa star mkubwa na ukawa unasukuma Spacio kwa madai ya kwamba umewekeza kwenye nyumba.

Diamond anahitaj gar ya kifahari kwa sasa.
 
Mkuu wew umeongeza nini.
Aaaaaah umeongeza post, hongereni wote,
Vijana tufanyeni kazi
 
Ts gud,but Diamond sasa anahtaj gari la kifahari zaidi.Nadhani kwa sasa yeye ndo msanii pekee wa A -List Africa anae-push mkoko cheap zaidi ukilinganisha na wenzake.
mbona a.k.a anasukuma bmw x6 tena kainunua juzi tu na anayo bmw x5
 
Kama ni kujiweka katika mwenekano wa kistar Dee anajitahidi.. Si unacheki minjino ya dhahabu pale kati, micheni ya almasi ya dhahabu na almasi, misaa ya gold etc
Kuhusu gari nadhani mwenyewe ndoto yake ni kununua gari flani hivi ya Rolls Royce huwa anapenda sana kuitupia kwenye mtandao.. Ila so far mimi namsifu angalau anafanya vitu vyenye akili kuliko kuendesha Ferrari alafu kesho kutwa unaumwa unatuomba michango kwenda india
 
Hongera zake.........ila dah akatafute plot mahali ajenge nyumba ya ukweli......garden ya maana.....playing ground za kutosha......

Damn my dream house.
 
Sasa tunaanza kuelewana.Meno,cheni,saa n.k including what u drive,unaishi wapi na life style yako ndo ustar wenyew huo.

Nyumba anunue kwa sana,lakin pia ajue anahitaj gar ya kifahari.
Sina tatzo na uongoz wake najua washaliona hili labda wanasubir wakati sahihi
 
Nakumbuka Ali alipopewa ile nyumba akae kwa muda ilikuwa full mipicha mtandaoni.... mwenyewe amesema hajengi nyumba mpaka aoe kwanza hahahhah, huyo ndio kingi..
nilijua utamuingiza ali wakati post haimuhusu, teh we jamaa bhana, ushabiki wa namna hiyo sidhani kama una tija
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…