UDSM Alumni
JF-Expert Member
- Jan 25, 2015
- 2,530
- 1,370
Hahahaha! We unaota ww. hahahaha! Uwiiiii!Hivi ile hotel moja ipo Mtwara mjini siyo yake maana hata jina limekaa sawasawa. Inaitwa TIFANY DIAMOND HOTEL ni ya ghorofa 4. Maana kwenye jina hapo kuna jina la mtoto pamoja na lake la kazi.
Swadakta,hata mimi nina mawazo kama yako ,ningekua mtu wake wa karibu ningemshauri hivyo kwani hata ukilinganisha ukubwa wa jina lake na hizo nyumba alizo nazo ana haki ya kuziita kibanda kwani ukilinganisha na nyumba za wasanii wengine wa afrika mashariki,kwa mfano Jose Chameleone au hata yule eddy kenzo ana bonge la ghorofa la ukweli kushinda hiyo inayoitwa ikulu huko madale,japo anajitahidi kuwekeza lakini nadhani jina lake ni kubwa so anapaswa kufanya mambo makubwa kuendana na jina lake.Hongera zake.........ila dah akatafute plot mahali ajenge nyumba ya ukweli......garden ya maana.....playing ground za kutosha......
Damn my dream house.
Hata mimi nashindwa kuelewa kwa kweli.I love them ...but I just don't understand why they're having such a problem finding the house when they can have something built from the ground up that is their dream house with as much money as they have!!! Wish it. Had that problem!!
Kwa pesa alizokua nazo si wakununua nyumba bali kujenga. Tena unatafuta kiwanja kikubwa sana magarden ya kutosha viwanja mbalimbali na ma swimming pool halafu ndio apaite state houseHongera zake.........ila dah akatafute plot mahali ajenge nyumba ya ukweli......garden ya maana.....playing ground za kutosha......
Damn my dream house.
Mahali kwingi duniani, masupastaa hawajengi nyumba bali hununua ambazo tayari zishajengwa. Kujenga kuna adha yake mkuu. Watu tunajenga kwa kuwa pesa yetu tunaingiza kidogo kidogo. Mie nipate mkwanja kwa mkupuo sitaki mambo ya kuhangaishana na mafundi.Kwa pesa alizokua nazo si wakununua nyumba bali kujenga. Tena unatafuta kiwanja kikubwa sana magarden ya kutosha viwanja mbalimbali na ma swimming pool halafu ndio apaite state house
Lakini Analipa kodi?Nadhani hii ndo alinunua kipindi kile, kaifanyia marekebisho tu.
Ivi lilee garii alilonnunuliwa na Wifi yetuu Zarii bado lipoo??nitashukuru ukinijibu ukishindwa hata WARUMI ajibu Maana Najuaa hawezi kosaKama ni kujiweka katika mwenekano wa kistar Dee anajitahidi.. Si unacheki minjino ya dhahabu pale kati, micheni ya almasi ya dhahabu na almasi, misaa ya gold etc
Kuhusu gari nadhani mwenyewe ndoto yake ni kununua gari flani hivi ya Rolls Royce huwa anapenda sana kuitupia kwenye mtandao.. Ila so far mimi namsifu angalau anafanya vitu vyenye akili kuliko kuendesha Ferrari alafu kesho kutwa unaumwa unatuomba michango kwenda india
Umeona eeeh.........yani kama ulikuwepo kwenye akili zangu......anyway labda anayo hiyo plan.Kwa pesa alizokua nazo si wakununua nyumba bali kujenga. Tena unatafuta kiwanja kikubwa sana magarden ya kutosha viwanja mbalimbali na ma swimming pool halafu ndio apaite state house
Kabisa.....ifikie mahali sasa ajenge nyumba ya ukweli........ingawa hata hizi nazo amejitahidi ila ajitahidi zaidi.Swadakta,hata mimi nina mawazo kama yako ,ningekua mtu wake wa karibu ningemshauri hivyo kwani hata ukilinganisha ukubwa wa jina lake na hizo nyumba alizo nazo ana haki ya kuziita kibanda kwani ukilinganisha na nyumba za wasanii wengine wa afrika mashariki,kwa mfano Jose Chameleone au hata yule eddy kenzo ana bonge la ghorofa la ukweli kushinda hiyo inayoitwa ikulu huko madale,japo anajitahidi kuwekeza lakini nadhani jina lake ni kubwa so anapaswa kufanya mambo makubwa kuendana na jina lake.
Sasa ina tuhusu nini
Huo ndio ushauri tusioutaka!! Kuonyesha ufahari wa magari ni ujinga, gari sio asset ni liability!! Aendelee kuwekeza kwenye asset namna hiyo hata siku akishuka kwenye mziki ana uhakika wa maisha na urithi kwa mwanaye.. Sio kuendesha Lamborghini alafu hujui keshi yako ikoje